12 wachukua fomu urais Zanzibar
WAGOMBEA 12 wa urais wa Zanzibar wamejitokeza kuchukua fomu kwa ajili ya kuwania nafasi hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Watangaza nia wachukua fomu za urais
MAKADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliotangaza nia ya kugombea urais, jana wameanza kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na chama chao mjini Dodoma.
Kila aliyechukua fomu alikutana na waandishi wa habari nje ya jengo la makao makuu ya CCM na kueleza nini ambacho atawafanyia Watanzania endapo akiteuliwa kupeperusha bendara ya chama chake.
PROFESA MWANDOSYA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya, alisema makundi yaliyoibuka ndani ya chama hicho yanaashiria baadhi...
10 years ago
Habarileo02 Aug
Watatu wachukua fomu za urais NEC
WAGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka vyama vitatu vya siasa nchini, wamechukua fomu za kuwania nafasi hiyo, huku wakikirushia Chama Cha Mapinduzi (CCM) tuhuma kutokana na changamoto mbalimbali za nchi. Wagombea hao walichukua fomu hizo kutoka Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dar es Salaam jana.
10 years ago
Mtanzania08 Jun
Watatu zaidi wachukua fomu za urais CCM
NA DEBORA SANJA, DODOMA
MBIO za urais zinaendelea kupamba moto baada ya makada wa CCM wanaochukua fomu kuwania kuteuliwa kugombea nafasi hiyo kupitia chama hicho kufikia 18.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ndiye alikuwa wa 16 kuchukua fomu hizo jana akifuatiwa na makada wengine wa chama hicho, Peter Nyalali na Leonce Mulenda
Nyalandu alifika Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, akiwa ameambatana na mkewe Faraja Nyalandu na watoto wao wawili.
Akijibu swali kuhusu jinsi gani...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-cgFeqyGylw4/VcC04r9_5zI/AAAAAAAAcCQ/omhO-aOQrNk/s72-c/c16.jpg)
PICHA: MGOMBEA WA URAIS KWA TIKETI YA CCM DKT. JOHN MAGUFULI NA MGOMBEA MWENZA MH. SAMIA SULUHU WACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-cgFeqyGylw4/VcC04r9_5zI/AAAAAAAAcCQ/omhO-aOQrNk/s640/c16.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-283YW3zqPqY/VcC04hc0ZFI/AAAAAAAAcCM/6Yn8L0MksWw/s640/c17.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-X1hklPGs6_4/VcC04dfGx7I/AAAAAAAAcCI/tK03pjoNSxE/s640/c18.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dQMFnDG46-o/VcC050ISKbI/AAAAAAAAcCg/wczVQE642p4/s640/c19.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4K6YSo9YezA/VcC06IaqWuI/AAAAAAAAcCk/btgG3CzKLYc/s640/c20.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-C-vbmMMYATo/VcC06oLLGlI/AAAAAAAAcCo/Uf0oA3y06vw/s640/c21.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-i0L0gdBbxR0/VcC06wBZ0uI/AAAAAAAAcCs/ilzWOvRdpY8/s640/c22.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mXP8dksn-Zk/VcC07ngiiFI/AAAAAAAAcC8/EDURRoHq4gc/s640/c23.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vFq-Sn-LLws/VcC08FuPX5I/AAAAAAAAcDI/2JMLVef8exk/s640/c24.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-L0PnCHpewT0/Vbz_AxWlvMI/AAAAAAAHtIM/ENz3J-ggd6k/s72-c/DSC_5634.jpg)
MBIO ZA URAIS 2015: MCHUNGAJI MTIKILA WA DP, FAHMI DOVUTWA WA UPDP,MAXMILLIAN LYIMO WA TLP WACHUKUA FOMU ZA UTEUZI ZA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI NEC
![](http://3.bp.blogspot.com/-L0PnCHpewT0/Vbz_AxWlvMI/AAAAAAAHtIM/ENz3J-ggd6k/s640/DSC_5634.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GohRAeWI1Mw/Vbz_A9asL_I/AAAAAAAHtIE/XpMWjagnr3E/s640/DSC_7629.jpg)
9 years ago
VijimamboMgombea Urais wa Chama cha ACT Mhe Khamis Iddi Lila Arejesha fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar Tume ya Uchaguzi ZEC.
9 years ago
Mwananchi25 Aug
Dk Shein achukua fomu za urais Zanzibar
9 years ago
Habarileo05 Sep
Seif arejesha fomu ya urais Zanzibar
MGOMBEA wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad amerudisha fomu ya kuwania nafasi hiyo kwa mara ya tano huku akisema imani yake kubwa kwamba uchaguzi mkuu utakuwa huru na haki utakaofuata misingi ya uadilifu.
10 years ago
Habarileo18 Jun
Shein kuchukua fomu ya urais Zanzibar
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein leo anatarajiwa kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania nafasi ya urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui mjini hapa.