Dk Shein achukua fomu za urais Zanzibar
Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein jana alichukua fomu za kuwania tena wadhifa huo kwa awamu ya pili akieleza kuwashangaa wanaodai kuwa CCM hushinda kutokana na ufundi wa kuiba kura.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
DK. SHEIN ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS WA ZANZIBAR


Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk. Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akiwapungia mikono wananchi katika Gari maalum akitokea katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi...
10 years ago
MichuziDK.SHEIN ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti...
10 years ago
Michuzi
DK. SHEIN ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS WA ZANZIBAR LEO


Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk. Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akiwapungia mikono wananchi katika Gari maalum akitokea katika Ofisi za Tume ya...
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Mgombea ACT achukua fomu urais Zanzibar
Mwanachama wa ACT – Wazalendo, Khamis Iddi Lila amechukua fomu za kuwania urais wa Zanzibar akieleza vipaumbele vyake kuwa ni mambo yote wanayowahusu wananchi, ikiwamo elimu.
5 years ago
CCM Blog
BALOZI KARUME ACHUKUA FOMU KUOMBA KUWANIA URAIS ZANZIBAR

5 years ago
CCM Blog
WAZIRI WA ZAMANI WA FEDHA ZANZIBAR, ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUGOMBEA URAIS

Aliyekuwa Waziri wa Fedha na mipango Zanzibar, Dk Khalid Salum Mohammed amekuwa mgombea wa 15 kujitokeza kuchukua Fomu ya kuwania nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM.
10 years ago
Vijimambo
MAALIM SEIF SHARIF HAMAD, ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS WA ZANZIBAR


5 years ago
MichuziMASAUNI ACHUKUA FOMU YA KUOMBA KUTEULIWA KUGOMBEA URAIS WA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
5 years ago
CCM Blog
DK HUSSEIN MWINYI ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA URAIS KUPITIA CCM ZANZIBAR

Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania