BALOZI KARUME ACHUKUA FOMU KUOMBA KUWANIA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-Zf-3hnF-rcg/XudsS6yMv1I/AAAAAAABMYI/Wtpb4mjuak0UJ0AwPhclpBzIeLCX_ymKgCLcBGAsYHQ/s72-c/KARUME.jpeg)
Waziri wa Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Ali Abeid Karume amechukua fomu ya kuwania kuteuliwa kugombea urais wa visiwa hivyo kupitia CCM. Amesema akiteuliwa ataendeleza mazuri yaliyofanywa na watangulizi, ikiwemo kuimarisha muungano.
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nn738jMvrVg/XueGh8mogQI/AAAAAAALt6o/5j3Z3TAXlmw1Ntbxb2ljRMNSQs0SZ3QbQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B5.31.11%2BPM.jpeg)
BALOZI ALI KARUME ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS ZANZIBAR, ATAJA ATAKAYOANZA AKIPATA RIDHAA YA WANANCHI
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
BALOZI Ali Karume ambaye ni mtoto wa muasisi wa nchi ya Zanzibar Sheikh Abeid Aman Karume amechukua fomu ya kuwania nafasi ya urais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar huku akieleza kuwa baada ya kufanyika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25,2020 anatarajia kuwa Rais wa Nane.
Amesema iwapo atapata ridhaa ya kugombea nafasi hiyo kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) na wananchi wakampa ridhaa kwa kumchagua kuwa Rais atahakikisha anaendeleza yale yote mazuri ambayo yamefanywa na...
BALOZI Ali Karume ambaye ni mtoto wa muasisi wa nchi ya Zanzibar Sheikh Abeid Aman Karume amechukua fomu ya kuwania nafasi ya urais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar huku akieleza kuwa baada ya kufanyika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25,2020 anatarajia kuwa Rais wa Nane.
Amesema iwapo atapata ridhaa ya kugombea nafasi hiyo kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) na wananchi wakampa ridhaa kwa kumchagua kuwa Rais atahakikisha anaendeleza yale yote mazuri ambayo yamefanywa na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-0_dxyVLpYLk/XusPA4QQPWI/AAAAAAABMc8/fRQPASsntNQz9pvTJWFhsHlj0mqkNefNgCLcBGAsYHQ/s72-c/Mwinyi.jpg)
DK HUSSEIN MWINYI ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA URAIS KUPITIA CCM ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-0_dxyVLpYLk/XusPA4QQPWI/AAAAAAABMc8/fRQPASsntNQz9pvTJWFhsHlj0mqkNefNgCLcBGAsYHQ/s400/Mwinyi.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Qeo6hVe99mk/XusafgXa0fI/AAAAAAABMdc/X-jmGTGHhS4AbrF3Az2Bd8vSYf7M2akgACLcBGAsYHQ/s72-c/ccm.jpeg)
SHAMSHI VUAI NAHODHA ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA URAIS ZANZIBAR KUPITIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-Qeo6hVe99mk/XusafgXa0fI/AAAAAAABMdc/X-jmGTGHhS4AbrF3Az2Bd8vSYf7M2akgACLcBGAsYHQ/s400/ccm.jpeg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-s_NXerJ1U3o/XuxoX-eokOI/AAAAAAABMgA/KY4cHoLMT0QJu1R6e30GtBm_7P3E01NTwCLcBGAsYHQ/s72-c/P45A1399.jpg)
MEJA JENERALI MSTAAFU, ISSA SULEIMAN NASSOR ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA URAIS WA ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-s_NXerJ1U3o/XuxoX-eokOI/AAAAAAABMgA/KY4cHoLMT0QJu1R6e30GtBm_7P3E01NTwCLcBGAsYHQ/s400/P45A1399.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-7dlfq1o37L8/Xum9zhQogKI/AAAAAAABMbc/W2L_Tb2IY3IDym0c7CmmMO_FnHyWBOXaQCLcBGAsYHQ/s72-c/mg.jpg)
BREAKING NEWSSSSSS: MWENYEKITI WA CCM, RAIS MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUOMBA KUWANIA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-7dlfq1o37L8/Xum9zhQogKI/AAAAAAABMbc/W2L_Tb2IY3IDym0c7CmmMO_FnHyWBOXaQCLcBGAsYHQ/s400/mg.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-3EXlot6MIpk/Xu9I68qFTcI/AAAAAAABDS0/7EgPcZnGYn0nA9aek8qB0gmOYr1FVsoVQCNcBGAsYHQ/s72-c/2%2B2.jpg)
WAZIRI WA ZAMANI WA FEDHA ZANZIBAR, ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUGOMBEA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-3EXlot6MIpk/Xu9I68qFTcI/AAAAAAABDS0/7EgPcZnGYn0nA9aek8qB0gmOYr1FVsoVQCNcBGAsYHQ/s400/2%2B2.jpg)
Aliyekuwa Waziri wa Fedha na mipango Zanzibar, Dk Khalid Salum Mohammed amekuwa mgombea wa 15 kujitokeza kuchukua Fomu ya kuwania nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM.
5 years ago
MichuziMASAUNI ACHUKUA FOMU YA KUOMBA KUTEULIWA KUGOMBEA URAIS WA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-UuSnkdbHwMk/Vds0VsoitvI/AAAAAAAHzsI/pc--J5DiA1g/s72-c/unnamed02.jpg)
DK. SHEIN ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS WA ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-UuSnkdbHwMk/Vds0VsoitvI/AAAAAAAHzsI/pc--J5DiA1g/s640/unnamed02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JkJnI9BklQc/Vds0VwQPlGI/AAAAAAAHzsM/huZA9bFF-2w/s640/unnamed01.jpg)
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk. Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akiwapungia mikono wananchi katika Gari maalum akitokea katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UuSnkdbHwMk/Vds0VsoitvI/AAAAAAAHzsI/pc--J5DiA1g/s72-c/unnamed02.jpg)
DK. SHEIN ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS WA ZANZIBAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-UuSnkdbHwMk/Vds0VsoitvI/AAAAAAAHzsI/pc--J5DiA1g/s640/unnamed02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JkJnI9BklQc/Vds0VwQPlGI/AAAAAAAHzsM/huZA9bFF-2w/s640/unnamed01.jpg)
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk. Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akiwapungia mikono wananchi katika Gari maalum akitokea katika Ofisi za Tume ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania