Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BALOZI KARUME ACHUKUA FOMU KUOMBA KUWANIA URAIS ZANZIBAR

Waziri wa Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Ali Abeid Karume amechukua fomu ya kuwania kuteuliwa kugombea urais wa visiwa hivyo kupitia CCM. Amesema akiteuliwa ataendeleza mazuri yaliyofanywa na watangulizi, ikiwemo kuimarisha muungano.

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

BALOZI ALI KARUME ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS ZANZIBAR, ATAJA ATAKAYOANZA AKIPATA RIDHAA YA WANANCHI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
BALOZI Ali Karume ambaye ni mtoto wa muasisi wa nchi ya Zanzibar Sheikh Abeid Aman Karume amechukua fomu ya kuwania nafasi ya urais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar huku akieleza kuwa baada ya kufanyika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25,2020 anatarajia kuwa Rais wa Nane.
Amesema iwapo atapata ridhaa ya kugombea nafasi hiyo kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) na wananchi wakampa ridhaa kwa kumchagua kuwa Rais atahakikisha anaendeleza yale yote mazuri ambayo yamefanywa na...

 

5 years ago

CCM Blog

DK HUSSEIN MWINYI ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA URAIS KUPITIA CCM ZANZIBAR

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, katika Serikali ya Awamu ya Tano, Dkt. Hussein Mwinyi akichukua fomu kwa lengo la kuwania nafasi ya urais wa Zanzibar katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kisiwandui mjini Unguja.

 

5 years ago

CCM Blog

SHAMSHI VUAI NAHODHA ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA URAIS ZANZIBAR KUPITIA CCM

Waziri Kiongozi Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha amechukua fomu kuomba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimpitishe agombee urais Zanzibar wakati wa Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.

 

5 years ago

CCM Blog

MEJA JENERALI MSTAAFU, ISSA SULEIMAN NASSOR ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA URAIS WA ZANZIBAR

Katibu wa Oganizesheni ya CCM Zanzibar Ndg. Galos Nyimbo akimkabidhi Fomu ya kuwania kuteuliwa kugombea Urais wa Zanzibar, Meja Jenerali Mstaaf Issa Suleiman Nassor. hafla hiyo ya uchukuaji wa fomu uliofanyika katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar leo 18-6-2020.

 

5 years ago

CCM Blog

BREAKING NEWSSSSSS: MWENYEKITI WA CCM, RAIS MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUOMBA KUWANIA URAIS

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dk. John Magufuli akipokea fomu kutoka kwa Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally za kuomba kuwania urais kupitia chama hicho. Tukio hilo limefanyika leo asubuhi MMakao Makuu ya CCM, Jijini Dodoma

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI WA ZAMANI WA FEDHA ZANZIBAR, ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUGOMBEA URAIS


Aliyekuwa Waziri wa Fedha na mipango Zanzibar, Dk Khalid Salum Mohammed amekuwa mgombea wa 15 kujitokeza kuchukua Fomu ya kuwania nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM.

 

5 years ago

Michuzi

MASAUNI ACHUKUA FOMU YA KUOMBA KUTEULIWA KUGOMBEA URAIS WA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

 Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akionyesha mkoba wenye fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), kugombea nafasi ya Urais wa Zanzibar.Kushoto ni Katibu Kamati Maalumu ya  NEC na Idara ya Oganaizesheni,fomu hiyo amechukua leo katika Afisi ya CCM Kisiwandui Zanzibar.Picha na Abubakari Akida Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akionyesha mkoba wenye fomu ya...

 

9 years ago

Vijimambo

DK. SHEIN ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS WA ZANZIBAR

Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akipokea fomu hiyo kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi wa Zanzibar ZEC Jecha Salum Jecha katika Ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja.
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk. Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akiwapungia mikono wananchi katika Gari maalum akitokea katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi...

 

9 years ago

Michuzi

DK. SHEIN ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS WA ZANZIBAR LEO

Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akipokea fomu hiyo kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi wa Zanzibar ZEC Jecha Salum Jecha katika Ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja leo.
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk. Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akiwapungia mikono wananchi katika Gari maalum akitokea katika Ofisi za Tume ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani