watano wachukua fomu kugombea ubunge jimbo la chalinze
Jumla ya wagombea watano wamechukua fomu za kuwania Kiti cha Ubunge katika Jimbo la Chalinze, Bagamoyo,
Zoezi litafungwa rasmi tarehe 12 Machi 2014 saa kumi kamili alasiri, kwa mujibu wa taarifa ya Afisa Uchaguzi wa Jimbo la Bagamoyo, David Shija.
Wagombea hao ni:-
Mathayo Torongey (CHADEMA)
Phabian Skauki wa (CUF)
Vuniru Hussein (NRA)
Ramadhan Mgaya (ASP)
Ridhiwani Kikwete (CCM)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-e__cDQ2OYMs/VadpA1cl39I/AAAAAAAHqCo/JW6LKMfwuIk/s72-c/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
IDD AZAN na Jumaa Mhina 'Pijei' wachukua fomu kuwania ubunge Jimbo la Kinondoni na Kawe
![](http://1.bp.blogspot.com/-e__cDQ2OYMs/VadpA1cl39I/AAAAAAAHqCo/JW6LKMfwuIk/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IHXpBFgfMiQ/VadpBfaUzfI/AAAAAAAHqCw/Tca_fYKf7pQ/s640/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog20 Aug
Nyalandu achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Singida Kaskazini
Mgombea Ubunge Jimbo la Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu akichukua fomu ya kugombea Ubunge katika jimbo hilo kupitia Chama cha Mapinduzi CCM kwa MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA SINGIDA KASKAZINI, Mkurugenzi Mtendaji HAJJAT MWASUMILWE.
Nyalandu akihutubia wananchi Kinyagigi.
Lazaro Nyalandu akiwa Kinyagigi.
Wananchi wa kijiji cha Kinyagigi wakimpokea Nyalandu.
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
Jerry Slaa arejesha fomu ya kugombea ubunge jimbo la Ukonga
Mjumbe wa Halmashauri Kuu na Kamati Kuu ya CCM taifa, Jerry William Silaa akionyesha fomu aliyojaza kwa ajili ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge Jimbo la Ukonga katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25 Mwaka huu nchini kote, wakati aliporejesha fomu hiyo katika ofisi za CCM wilaya ya Ilala aliyoikabidhi kwa Katibu Msaidizi wa CCM wilaya ya ILALA (kushoto).
Jerry Slaa aliongozana na Mwenyekiti wa tawi la Gulukakwalala ambako ndio nyumbani kwake, Mwenyekiti wa CCM kata ya Gongo la Mboto...
10 years ago
MichuziQS Muhonda arudisha Fomu ya kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Kinondoni
QS amesema kuwa ameamua kuchukua fomu na kugombea nafasi hiyo ili kuleta maendeleo ya jimbo hilo na pia anauwezo na ufanisi mkubwa wa kuleta maendeleo katika jimbo hilo la Kinondoni, Lakini pia una ushawishi mkubwa kwa vijana ambao ni taifa la leo kuwafanya kuwa nguvu kazi ya Taifa hususan vijana wengi wa kinondoni ambao hawana ajira...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ZMSYNYpBcA0/VdLBLNPbdNI/AAAAAAAB5J0/5oOZHFufQ48/s72-c/11855626_163475883983386_5071235010551803117_n.jpg)
Saada Mkuya achukua fomu za kugombea Ubunge jimbo jipya la Welezo
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZMSYNYpBcA0/VdLBLNPbdNI/AAAAAAAB5J0/5oOZHFufQ48/s640/11855626_163475883983386_5071235010551803117_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XdtMlpM2VU0/VdLBLMvGlwI/AAAAAAAB5J4/41vRMOXnpq0/s640/11863497_171157699881871_1940997383930891996_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hbYWSrMf8ro/VdLBLYSbGPI/AAAAAAAB5KQ/helcsR6eSyI/s640/11870944_171157679881873_3008769847260815270_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-q2q-J-fUF9Q/VdLBMLW77mI/AAAAAAAB5KA/xmMzyRdXjSo/s640/11880555_171157693215205_5254557743562192756_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uOKRkZMHWUE/VdLBMbv3DWI/AAAAAAAB5KE/68n0omMlcpk/s640/11896219_171157696548538_4599662945498583312_n.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7PE_Ko3t6Mc/VdXAzC-mITI/AAAAAAAC9yE/AfUNndOQEdM/s72-c/1.jpg)
Anthony Mavunde achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Dodoma jijini.
![](http://3.bp.blogspot.com/-7PE_Ko3t6Mc/VdXAzC-mITI/AAAAAAAC9yE/AfUNndOQEdM/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XQbftpJGg-Y/VdXAx0XleMI/AAAAAAAC9x8/6FjjdIJjSwA/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ecmLwilRBZ8/VdXAy27Jp5I/AAAAAAAC9yU/wyLj3RTXEoo/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QUpkCNTreoU/VdXAzIqvCLI/AAAAAAAC9yI/3d3aR1e6k4Q/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4XEk7hZVvuNCPR9p-Y-4MD-8HtF9JAHdXuidqu3n*G8ApvQTFj2H7dmGbXQvRex1vKLBGRAMj4VK1iNSs-9-rVA/IMG_9354.gif?width=650)
JERRY SLAA AREJESHA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA UKONGA
10 years ago
Michuzi18 Jul
Steven Nyerere achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la kinondoni na kurudisha leo
10 years ago
VijimamboKAMANDA JOHN BUYAMBA ACHUKUA FOMU YA KUWANIA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ILEMELA.
Na:George GB PazzoMakada mbalimbali wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoani Mwanza, wameendelea kujitokeza kwa wingi kwa ajili ya kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya chama hicho ili kugombea nafasi za uongozi kwa ngazi za Udiwani na Ubunge.
Zaidi ya Makada sita wa chama hicho tayari wamejitokeza na kuchukua fomu kwa ajili ya kugombea nafasi ya Ubunge katika jimbo la Ilemela,...