Leicester wachukua uongozi EPL
Leicester wanaongoza msimamo wa Ligi Kuu Uingereza baada ya kupata ushindi wa 3-0 dhidi ya Swansea huku Arsenal, waliopata ushindi wa 3-1 nyumbani dhidi ya Sunderland wakishikilia nafasi ya pili.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 Sep
Spurs, Leicester zapeta Epl
9 years ago
BBCSwahili22 Nov
Leicester waongoza jedwali la EPL
11 years ago
GPL
WAGOMBEA UONGOZI SIMBA WACHUKUA FOMU KWA MBWEMBWE
9 years ago
CCM Blog09 Nov
MAGUFULI AVUNJA BODI YA UONGOZI MUHIMBILI ATEUA UONGOZI MPYA
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulucommpress@googlemail.com
Website : www.ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE,
STATE HOUSE,
1 BARACK OBAMA ROAD,
11400 DAR ES SALAAM.
Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli , leo mchana amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na...
10 years ago
Habarileo28 Aug
12 wachukua fomu urais Zanzibar
WAGOMBEA 12 wa urais wa Zanzibar wamejitokeza kuchukua fomu kwa ajili ya kuwania nafasi hiyo.
10 years ago
Habarileo16 Jun
Migiro, mwanafunzi wachukua fomu
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro jana alichukua fomu ya kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, hivyo kufikisha idadi ya makada 36 wa chama hicho wanaowania urais, lakini pia akiwa mwanamke wa nne kuthubutu kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu.
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Friends of Simba wachukua timu
WAKATI homa ya pambano la watani wa jadi nchini ikizidi kupanda, Kundi la Marafiki wa Simba ‘Friends of Simba’ limeutaka uongozi unaokaribia kumaliza muda wake kulikabidhi kikosi ili kuhakikisha wanaibuka...
11 years ago
Habarileo09 Apr
NIDA wachukua alama Pemba
MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imeanza usajili na uchukuaji wa alama za kibayolojia kwa wakazi wa Pemba visiwani Zanzibar.
10 years ago
Habarileo18 Aug
ubungeWanaowania uwakilishi, ubunge wachukua fomu
WAGOMBEA wa nafasi za ubunge, uwakilishi pamoja na udiwani wamejitokeza kwa wingi kuchukua fomu za kugombea nafasi hizo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi katika ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC).