Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Leicester wachukua uongozi EPL

Leicester wanaongoza msimamo wa Ligi Kuu Uingereza baada ya kupata ushindi wa 3-0 dhidi ya Swansea huku Arsenal, waliopata ushindi wa 3-1 nyumbani dhidi ya Sunderland wakishikilia nafasi ya pili.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Spurs, Leicester zapeta Epl

Wakicheza ugenini katika dimba la light, timu ya soka ya Tottenham imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Sunderland

 

9 years ago

BBCSwahili

Leicester waongoza jedwali la EPL

Baada ya kugawana muda wa kuwa kileleni mwa ligi kuu ya soka nchini Uingereza, hatimaye vigogo Arsenal na Manchester city wamesalimu amri.

 

11 years ago

GPL

WAGOMBEA UONGOZI SIMBA WACHUKUA FOMU KWA MBWEMBWE

Aveva akiwasili mtaa wa Msimbazi kwa msafara. ...Akionesha alama ya tatu ambayo alisema maana yake ni pointi tatu ni muhimu kila mechi.…

 

9 years ago

CCM Blog

MAGUFULI AVUNJA BODI YA UONGOZI MUHIMBILI ATEUA UONGOZI MPYA


THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulucommpress@googlemail.com
Website : www.ikulu.go.tz             
Fax: 255-22-2113425


PRESIDENT’S OFFICE,
     STATE HOUSE,
             1 BARACK OBAMA ROAD, 
11400 DAR ES SALAAM.
Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli , leo mchana amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na...

 

10 years ago

Habarileo

12 wachukua fomu urais Zanzibar

WAGOMBEA 12 wa urais wa Zanzibar wamejitokeza kuchukua fomu kwa ajili ya kuwania nafasi hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

Migiro, mwanafunzi wachukua fomu

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose MigiroWAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro jana alichukua fomu ya kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, hivyo kufikisha idadi ya makada 36 wa chama hicho wanaowania urais, lakini pia akiwa mwanamke wa nne kuthubutu kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Friends of Simba wachukua timu

WAKATI homa ya pambano la watani wa jadi nchini ikizidi kupanda, Kundi la Marafiki wa Simba ‘Friends of Simba’ limeutaka uongozi unaokaribia kumaliza muda wake kulikabidhi kikosi ili kuhakikisha wanaibuka...

 

11 years ago

Habarileo

NIDA wachukua alama Pemba

MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imeanza usajili na uchukuaji wa alama za kibayolojia kwa wakazi wa Pemba visiwani Zanzibar.

 

10 years ago

Habarileo

ubungeWanaowania uwakilishi, ubunge wachukua fomu

WAGOMBEA wa nafasi za ubunge, uwakilishi pamoja na udiwani wamejitokeza kwa wingi kuchukua fomu za kugombea nafasi hizo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi katika ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani