Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Leicester waongoza jedwali la EPL

Baada ya kugawana muda wa kuwa kileleni mwa ligi kuu ya soka nchini Uingereza, hatimaye vigogo Arsenal na Manchester city wamesalimu amri.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Leicester wachukua uongozi EPL

Leicester wanaongoza msimamo wa Ligi Kuu Uingereza baada ya kupata ushindi wa 3-0 dhidi ya Swansea huku Arsenal, waliopata ushindi wa 3-1 nyumbani dhidi ya Sunderland wakishikilia nafasi ya pili.

 

9 years ago

BBCSwahili

Spurs, Leicester zapeta Epl

Wakicheza ugenini katika dimba la light, timu ya soka ya Tottenham imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Sunderland

 

11 years ago

Mwananchi

Trafiki Ikulu waongoza waandishi

>Katika hali isiyo ya kawaida juzi jioni, Ikulu iliwasindikiza waandishi wa habari kurejea ofisini kwao kwa kutumia askari wa usalama barabarani, waliowaongoza ili kukwepa msongamano wa magari.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wasiotaka kujitenga Scotland waongoza

Matokeo ya awali ya kura ya maoni ya uhuru wa Scotland yameanza kutolewa huku wasiotaka kujitenga wakiongoza.

 

11 years ago

Mwananchi

Waongoza watalii wamlilia RC Gama

 Chama cha Waongoza Watalii Mlima Kilimanjaro na Meru (Kili-Meru) kimemuomba mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama kuwatafutia maeneo ya kilimo katika mikoa mingine ili waweze kujikita zaidi kwenye kilimo badala ya kutegemea kazi ya kuongoza watalii pekee.

 

11 years ago

Mwananchi

Watano waongoza kuchangia bungeni

>Tangu kuanza kwa Bunge Maalumu la Katiba, Februari 18 mwaka huu,  wajumbe watano  wanaonekana kuwa ndio wachangiaji wakuu katika mjadala wa Rasimu ya Kanuni za Bunge hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uingereza: Cameron na Conservatives waongoza

Chama cha Conservatives cha waziri mkuu wa Uingereza David Cameron anaelekea kusajili ushindi mkubwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika jana.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mgimwa awapa darasa waongoza watalii


NA JAMES LANKA, MOSHI
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utaliii, Mahmoud Mgimwa, amewataka waongoza watalii kuhakikisha wanapewa  mikataba halali ya kazi na wamiliki wa kampuni wanayofanyakazi ili kuepuka kunyonywa haki zao. 
Mgimwa alitoa rai katika mkutano mkuu wa mwaka wa Chama cha Waongoza Watalii Mlima Kilimanjaro (KGA), kilichofanyika juzi mjini hapa.
Mwenyekiti wa chama hicho, Respicius Baitwa, alimueleza naibu waziri kuwa,  pamoja na ugumu wa kazi yao, baadhi ya wamiliki wa kampuni za utalii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani