Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watano waongoza kuchangia bungeni

>Tangu kuanza kwa Bunge Maalumu la Katiba, Februari 18 mwaka huu,  wajumbe watano  wanaonekana kuwa ndio wachangiaji wakuu katika mjadala wa Rasimu ya Kanuni za Bunge hilo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mtikila adai amezuiwa kuchangia bungeni

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mchungaji Christopher Mtikila amedai hataweza kuchangia tena katika mjadala wa Katiba kwa kuwa Ofisi ya Bunge imempiga marufuku kutokana na kauli zake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uingereza: Cameron na Conservatives waongoza

Chama cha Conservatives cha waziri mkuu wa Uingereza David Cameron anaelekea kusajili ushindi mkubwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika jana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wasiotaka kujitenga Scotland waongoza

Matokeo ya awali ya kura ya maoni ya uhuru wa Scotland yameanza kutolewa huku wasiotaka kujitenga wakiongoza.

 

9 years ago

BBCSwahili

Leicester waongoza jedwali la EPL

Baada ya kugawana muda wa kuwa kileleni mwa ligi kuu ya soka nchini Uingereza, hatimaye vigogo Arsenal na Manchester city wamesalimu amri.

 

11 years ago

Mwananchi

Waongoza watalii wamlilia RC Gama

 Chama cha Waongoza Watalii Mlima Kilimanjaro na Meru (Kili-Meru) kimemuomba mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama kuwatafutia maeneo ya kilimo katika mikoa mingine ili waweze kujikita zaidi kwenye kilimo badala ya kutegemea kazi ya kuongoza watalii pekee.

 

11 years ago

Mwananchi

Trafiki Ikulu waongoza waandishi

>Katika hali isiyo ya kawaida juzi jioni, Ikulu iliwasindikiza waandishi wa habari kurejea ofisini kwao kwa kutumia askari wa usalama barabarani, waliowaongoza ili kukwepa msongamano wa magari.

 

11 years ago

GPL

MAXIMO, LEONARDO WAONGOZA MAZOEZI YANGA

Kocha wa Yanga, Mbrazil, Marcio Maximo akisimamia leo Coco Beach. Wachezaji wa Yanga wakipasha.…

 

11 years ago

Habarileo

Wasichana wa kifugaji waongoza kwa ufaulu

WASICHANA wa jamii ya kifugaji wa wilayani Mbulu mkoani Manyara, wameongoza ufaulu wa masomo ya Sayansi kwenye mtihani wa Kidato cha Nne hadi kusababisha shule ya sekondari ya Chief Sarwatt, kushika nafasi ya kwanza wilayani humo.

 

11 years ago

Habarileo

Wasichana waongoza mapenzi umri mdogo

IDADI kubwa ya vijana hususan wa kike wenye umri kati ya miaka 15 hadi 24 wanaanza mapenzi katika umri mdogo hivyo kujiweka katika hatari ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU).

Hayo yamo katika mada kuhusu tabia hatarishi zinazochangia maambukizi mapya ya VVU kwa vijana katika warsha ya siku tatu ya Mradi wa SHUGA Redio inayofanyika katika Kituo cha Redio cha Nuru FM mjini Iringa.

Ofisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/Ukimwi kutoka UNESCO, Herman Mathias, akiwasilisha mada hiyo amesema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani