Waongoza watalii wamlilia RC Gama
 Chama cha Waongoza Watalii Mlima Kilimanjaro na Meru (Kili-Meru) kimemuomba mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama kuwatafutia maeneo ya kilimo katika mikoa mingine ili waweze kujikita zaidi kwenye kilimo badala ya kutegemea kazi ya kuongoza watalii pekee.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Nov
Mgimwa awapa darasa waongoza watalii
NA JAMES LANKA, MOSHI
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utaliii, Mahmoud Mgimwa, amewataka waongoza watalii kuhakikisha wanapewa mikataba halali ya kazi na wamiliki wa kampuni wanayofanyakazi ili kuepuka kunyonywa haki zao.
Mgimwa alitoa rai katika mkutano mkuu wa mwaka wa Chama cha Waongoza Watalii Mlima Kilimanjaro (KGA), kilichofanyika juzi mjini hapa.
Mwenyekiti wa chama hicho, Respicius Baitwa, alimueleza naibu waziri kuwa, pamoja na ugumu wa kazi yao, baadhi ya wamiliki wa kampuni za utalii...
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Mishahara ya wapagazi, waongoza watalii yapanda
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Waongoza watalii watua mzigo kwa JPM
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
Waziri Mgimwa ataka waongoza watalii wawe na mikataba halali
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utaliii, Mahmoud Mgimwa, amewataka waongoza watalii hapa nchini kuhakikisha kuwa wana mikataba halali ya kazi na wamiliki wa kampuni wanayofanyia kazi ili kuepuka kunyonywa haki...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-qHN6Gx1K98w/VX8Y4iDAyOI/AAAAAAAAQ9U/rc-G6F277-Y/s72-c/E86A0136%2B%2528800x533%2529.jpg)
VYAMA VYA WAONGOZA WATALII NA WAPAGAZI TANZANIA WATOA SIKU 30 KWA SERIKALI KUSHUGHULIKIA MADAI YAO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-qHN6Gx1K98w/VX8Y4iDAyOI/AAAAAAAAQ9U/rc-G6F277-Y/s640/E86A0136%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AC_cH8VtVuY/VX8YvGo1ESI/AAAAAAAAQ8U/l8zR8jAyPH8/s640/E86A0087%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DkeFH6D1ptw/VX8YvE3MJHI/AAAAAAAAQ8Q/isUo1IEA28A/s640/E86A0089%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-y8i6j1tdc90/VX8Y45iFglI/AAAAAAAAQ9k/ndKVAmP1SJE/s640/E86A0144%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Hk0tVmG49d4/VX8YuhNwjrI/AAAAAAAAQ8M/j-xEODVsSfE/s640/E86A0090%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-axN4AEVKS1k/VX8Yxjmwy_I/AAAAAAAAQ8k/R-ye4CnEvb4/s640/E86A0091%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Mtanzania09 Jun
RC Gama alipuliwa bungeni
NA ARODIA PETER, Dodoma
MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama, amehusishwa na tuhuma za kutaka kumiliki ardhi kwa njia za kifisadi katika maeneo mbalimbali, ikiwamo Wilaya ya Rombo mkoani humo.
Kutokana na hali hiyo, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imemwomba Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi kuzuia mchakato wowote haramu utakaofanywa na Gama kuhusu ardhi.
RC Gama, alitajwa bungeni na Waziri Kivuli wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halima Mdee...
10 years ago
TheCitizen11 Jun
Gama still in hot water
9 years ago
Habarileo06 Dec
Mbunge Gama atema cheche
MBUNGE wa Songea Mjini, Leonidas Gama, ametoa wiki mbili kwa Mhandisi wa Maji wa manispaa hiyo, Samwel Sanya, kuhakikisha wakazi wa kata ya Luhuwiko wanapata huduma ya maji safi na salama.
10 years ago
Mtanzania10 Jun
RC Gama amjibu Halima Mdee
NA RODRICK MUSHI, MOSHI
SIKU moja baada ya Waziri Kivuli wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halima Mdee (Chadema), kumlipua Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama, akidai kuwa amekuwa dalali wa viwanja, hatimaye amejibu mapigo na kusema kusakamwa kwake kunatokana na msimamo wake dhidi ya wa wanywaji pombe wilayani Rombo.
Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini hapa, alisema kauli ya Mdee imejaa siasa, hasa kipindi hiki cha kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu, lakini hatorudi...