Mishahara ya wapagazi, waongoza watalii yapanda
Hatimaye mgogoro wa malipo ya waongoza na wabeba mizigo ya watalii umemalizika, baada ya mawakala wa utalii na wadau kufikia makubaliano ya kuwaongezea ujira kuanzia Januari mosi mwakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-qHN6Gx1K98w/VX8Y4iDAyOI/AAAAAAAAQ9U/rc-G6F277-Y/s72-c/E86A0136%2B%2528800x533%2529.jpg)
VYAMA VYA WAONGOZA WATALII NA WAPAGAZI TANZANIA WATOA SIKU 30 KWA SERIKALI KUSHUGHULIKIA MADAI YAO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-qHN6Gx1K98w/VX8Y4iDAyOI/AAAAAAAAQ9U/rc-G6F277-Y/s640/E86A0136%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AC_cH8VtVuY/VX8YvGo1ESI/AAAAAAAAQ8U/l8zR8jAyPH8/s640/E86A0087%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DkeFH6D1ptw/VX8YvE3MJHI/AAAAAAAAQ8Q/isUo1IEA28A/s640/E86A0089%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-y8i6j1tdc90/VX8Y45iFglI/AAAAAAAAQ9k/ndKVAmP1SJE/s640/E86A0144%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Hk0tVmG49d4/VX8YuhNwjrI/AAAAAAAAQ8M/j-xEODVsSfE/s640/E86A0090%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-axN4AEVKS1k/VX8Yxjmwy_I/AAAAAAAAQ8k/R-ye4CnEvb4/s640/E86A0091%2B%2528800x533%2529.jpg)
11 years ago
Mwananchi16 May
Waongoza watalii wamlilia RC Gama
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Nov
Mgimwa awapa darasa waongoza watalii
NA JAMES LANKA, MOSHI
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utaliii, Mahmoud Mgimwa, amewataka waongoza watalii kuhakikisha wanapewa mikataba halali ya kazi na wamiliki wa kampuni wanayofanyakazi ili kuepuka kunyonywa haki zao.
Mgimwa alitoa rai katika mkutano mkuu wa mwaka wa Chama cha Waongoza Watalii Mlima Kilimanjaro (KGA), kilichofanyika juzi mjini hapa.
Mwenyekiti wa chama hicho, Respicius Baitwa, alimueleza naibu waziri kuwa, pamoja na ugumu wa kazi yao, baadhi ya wamiliki wa kampuni za utalii...
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Waongoza watalii watua mzigo kwa JPM
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
Waziri Mgimwa ataka waongoza watalii wawe na mikataba halali
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utaliii, Mahmoud Mgimwa, amewataka waongoza watalii hapa nchini kuhakikisha kuwa wana mikataba halali ya kazi na wamiliki wa kampuni wanayofanyia kazi ili kuepuka kunyonywa haki...
11 years ago
Mwananchi13 Jun
BAJETI 2014/2015: Kodi ya mishahara yapungua kiduchu, mishahara juu
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Serikali yamalizana na wapagazi
11 years ago
Habarileo07 Mar
Serikali yazima mgomo wa wapagazi
SERIKALI imetangaza kusitisha mgomo wa wapagazi wa mlima Kilimanjaro, uliokuwa unatarajiwa kuanza kwa kushirikisha zaidi ya wapagazi 15,000 wa Mlima Kilimanjaro na Meru.
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Mawakala wapinga mgomo wa wapagazi
MGOMO uliotangazwa na Chama cha Wapagazi Tanzania (TPO) wa kugoma kutoa huduma kwa watalii katika Mlima Kilimanjaro na Mlima Meru, umeanza kuwaumiza vichwa mawakala wa shuguli za utalii katika mikoa...