BAJETI 2014/2015: Kodi ya mishahara yapungua kiduchu, mishahara juu
>Kilio cha muda mrefu cha wafanyakazi nchini kutaka Kodi ya Mshahara (Paye), ipunguzwe hadi chini ya asilimia 10 kimekwama baada ya Serikali kupunguza kodi hiyo kwa asilimia moja.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania12 Jun
Kodi ya mishahara yashuka
Na Waandishi wetu, Dodoma/Dar
WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya Salum, amesema Serikali imeendelea na uboreshaji wa masilahi ya wafanyakazi ambapo kwa mwaka huu wa fedha imepunguza tozo la kodi ya mapato ya ajira kutoka asilimia 12 ya sasa hadi asilimia 11.
Akiwasilisha Bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/16 mjini Dodoma jana, Waziri Saada alisema hali hiyo inakwenda na dhamira ya Serikali kuwapunguzia mzigo wa kodi wafanyakazi.
Alisema mshahara wa kima cha chini umeongezeka kutoka Sh 65,000 mwaka...
11 years ago
Habarileo13 Jun
Kodi ya mishahara kupungua
SERIKALI imepunguza kiwango cha chini cha Kodi ya Mapato ya Mishahara (PAYE) hadi asilimia 12 kutoka asilimia 13.
11 years ago
Mwananchi02 May
JK: Mishahara itapanda na itapunguzwa kodi
10 years ago
Habarileo22 Sep
Kodi katika mishahara ya watumishi kupunguzwa
SERIKALI imesikia kilio cha watumishi wa umma, baada ya kuahidi kupunguza viwango vya makato ya kodi katika mishahara ya watumishi hao kutoka asilimia 12 za sasa hadi kiwango kinachofikia tarakimu moja.
11 years ago
Michuzi08 May
11 years ago
Mwananchi15 May
Bajeti SMZ kodi juu
11 years ago
Mwananchi13 Jun
BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda
11 years ago
Habarileo02 May
Mishahara kupanda
RAIS Jakaya Kikwete, amewaahidi wafanyakazi nchini kuwa katika mwaka ujao wa fedha ambao Mpango wa Bajeti umeonesha kuwa itakuwa ya Sh trilioni 19.7, Serikali itapandisha mishahara ya wafanyakazi.
11 years ago
Mwananchi22 Jun
TFF wakosa mishahara