Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uingereza: Cameron na Conservatives waongoza

Chama cha Conservatives cha waziri mkuu wa Uingereza David Cameron anaelekea kusajili ushindi mkubwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika jana.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

British Election: David Cameron Wins Surprise Victory for Conservatives


LONDON - Prime Minister David Cameron enjoyed a surprise triumph in the British election Friday as his Conservative Party won a narrow outright victory over a faltering opposition.
The result lifted a fog of uncertainty but leaves Britain facing two constitutional crises: a potentially damaging referendum on whether to quit the European Union, and renewed pressure from Scottish nationalists who want to leave the 300-year-old United Kingdom.
The opposition Labour Party took a beating, with its...

 

10 years ago

BBCSwahili

Cameron ataka Uingereza kushambulia IS

Waziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, amedhihirisha zaidi, kwamba anataka wanajeshi wa Uingereza wawashambulie wapiganaji wa Islamic State nchini Syria.

 

10 years ago

GPL

DAVID CAMERON AELEKEA KUSHINDA UCHAGUZI MKUU UINGEREZA

Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron anayewania kiti hicho. WAZIRI Mkuu wa Uingereza, David Cameron, anaelekea kupata ushindi mkubwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika jana nchini humo. Wafuasi wa David Cameron wakimlaki. Matokeo ya awali mpaka sasa yanaonesha chama chake cha Conservative kimejiongezea hadi sasa jumla ya viti 20 na kupata ushindi katika majimbo 279 ambapo chama kikuu cha upinzani cha Labour kimepata jumla ya...

 

10 years ago

TheCitizen

Conservatives shouldn’t take Z’bar for a ride

As we move slowly towards the sixth multi-party elections, but with uncertainty of what is in store for us, it is clear that there is a difference on the polls between the two parts of the union.

 

9 years ago

BBCSwahili

Cameron azuru Lebanon

Waziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, anazuru Lebanon ili kujionea mwenyewe namna msaada kutoka Uingereza unavyotumika huko

 

10 years ago

BBCSwahili

Cameron atakiwa asiwadhalilishe wahamiaji

Waziri mkuu wa Uingereza ameibua utata, kwa kuwaita wahamiaji haramu wanaojaribu kuvuka mpaka na kuingia Uingereza kama ''bumba la nyuki''.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uhamiaji:Cameron kuishawishi Ujerumani

Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron amezungumzo na kansela wa Ujerumani Angela Merkel, kuhusiana na mageuzi katika jumuia ya muungano wa bara ulaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Cameron aandaa serikali mpya

Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron anatumia wikendi hii kukamilisha orodha yake ya mawaziri baada ya chama chake kushinda

 

10 years ago

BBCSwahili

Cameron afanya ziara ya 2 Scotland

Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron anafanya ziara ya pili Scotland kuwashawishi kutojitenga

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani