Cameron afanya ziara ya 2 Scotland
Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron anafanya ziara ya pili Scotland kuwashawishi kutojitenga
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo10 Sep
Kikwete afanya ziara ya ghafla JNIA
RAIS Jakaya Kikwete, amefanya ziara ya kushtukiza katika maeneo kunakofanyika maandalizi ya kukinga nchi dhidi ya maambukizi ya virusi vinavyosababisha homa hatari ya ebola, ikiwemo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam.
10 years ago
Michuzi
Dkt. Shein afanya ziara Pemba


9 years ago
BBCSwahili25 Dec
Modi afanya ziara ya kushtukiza Pakistan
Waziri Mkuu wa India Narendra Modi ametua nchini Pakistan kwenye ziara ya kushtukiza ambayo ni ya kwanza kwa waziri mkuu wa India nchini humo katika zaidi ya mwongo mmoja.
10 years ago
BBCSwahili21 Oct
Assad afanya ziara ya ghafla Moscow
Rais wa Syria Bashar al-Assad amefanya mashauriano na Rais wa Urusi Vladimir Putin baada yake kufanya ziara ya kushtukiza Moscow.
5 years ago
Michuzi
ZUNGU AFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYANI MPWAPWA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiwasili ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma alipofanya ziara ya kikazi kukagua kukagua athari zilizosababishwa na korongo kubwa kando ya Mto Shaban Robert mwishoni mwa wiki.

9 years ago
MichuziRais Magufuli afanya Ziara ya Kushtukiza Hazina
11 years ago
BBCSwahili12 Oct
Ban Ki-Moon afanya ziara ya ghafla Libya
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban ki Moon ametoa wito wa kudumishwa kwa amani nchini Libya
11 years ago
MichuziWaziri Kawambwa afanya ziara Mkoani Morogoro
Picha na Habari Na John Nditi, Morogoro
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa, amefanya ziara ya kikazi katika mkoa wa Morogoro iliyaonza Oktoba 20 na kufikia tamati 22, 2014
Katika ziara hiyo ya kikazi, waziri baada ya kupkea taarifa ya hali ya elimu mkoa, alitembelea Shule ya Kilakala Sekondari ya wasichana wa vipaji maalumu kwa ajili ya kupata taarifa za elimu na kukagua miundombinu ya shule.
Waziri huyo mwenye dhamana na sekta ya elimu, pia alikitembelea Chuo cha...
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa, amefanya ziara ya kikazi katika mkoa wa Morogoro iliyaonza Oktoba 20 na kufikia tamati 22, 2014
Katika ziara hiyo ya kikazi, waziri baada ya kupkea taarifa ya hali ya elimu mkoa, alitembelea Shule ya Kilakala Sekondari ya wasichana wa vipaji maalumu kwa ajili ya kupata taarifa za elimu na kukagua miundombinu ya shule.
Waziri huyo mwenye dhamana na sekta ya elimu, pia alikitembelea Chuo cha...
9 years ago
Michuzi
KASI YA RC KILIMANJARO NI BALAA, AFANYA ZIARA ZA KUSHTUKIZA
Na Mwandishi Wetu, Moshi.MKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara ya kushtukiza katika masoko manne ya Manispaa ya Moshi pamoja na dampo za kukusanyia uchafu, ili kujionea hali ya usafi na utendaji kazi katika mkoa huo. Katika ziara hiyo, RC Makalla alitumia muda huo kuwaagiza watendaji wake, hususan katika mchakato mzima wa kuifanya Moshi iwe kwenye usafi.
Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro, RC Amos Makalla mwenye miwani, akikagua soko lililopo kwenye Manispaa ya Moshi, mkoani humo,...

Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania