Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ban Ki-Moon afanya ziara ya ghafla Libya

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban ki Moon ametoa wito wa kudumishwa kwa amani nchini Libya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ban Ki moon afanya maamuzi magumu

Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki-moon, amesema amemfukuza mkuu wa kulinda amani toka UN nchini Afrika ya kati.

 

9 years ago

BBCSwahili

Assad afanya ziara ya ghafla Moscow

Rais wa Syria Bashar al-Assad amefanya mashauriano na Rais wa Urusi Vladimir Putin baada yake kufanya ziara ya kushtukiza Moscow.

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete afanya ziara ya ghafla JNIA

RAIS Jakaya Kikwete, amefanya ziara ya kushtukiza katika maeneo kunakofanyika maandalizi ya kukinga nchi dhidi ya maambukizi ya virusi vinavyosababisha homa hatari ya ebola, ikiwemo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam.

 

9 years ago

GPL

HAPA KAZI TU: RAIS JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA ZIARA YA GHAFLA WIZARA YA FEDHA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dk.John Pombe Magufuli akisani kitabu cha wageni baada ya kufika Wizara ya Fedha. ...Akikagua utendaji kazi wa wafanyakazi mbali mbali wizarani hapo. …

 

9 years ago

BBCSwahili

Ban Ki Moon ziarani Nigeria

Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki-moon amewasili jana nchini Nigeria kuanza ziara ya siku mbili.

 

11 years ago

BBC

Viewpoint: CAR needs help - Ban Ki-Moon

UN chief says CAR 'must not become another Rwanda'

 

10 years ago

Dewji Blog

Ban Ki Moon awafunda manesi na madaktari

Ethiopia UN Ebola

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon.

Na Mwandishi wetu

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban ki Moon amezitaka nchi duniani kuacha tabia ya unyanyapaa kwa madaktari na manesi waliofanya kazi katika nchi zilizoathiriwa na ugonjwa wa Ebola na kuwalazimisha kwenda karantini pindi warejeapo nyumbani.

Akizungumza katika mji mkuu wa Ethiopia Adiss ababa, Ban amewaelezea wafanyakazi wa namna hiyo kuwa ni wa kipekee mno, marafiki wazuri na si vyema kuwatenga.

Kauli hiyo inakuja baada ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ban Ki-moon ataoa tahadhari CAR

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesema nchi ya Jamuhuri ya Kati haipaswi kuruhusiwa kugeuka kuwa Rwanda nyingine.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ban Ki-Moon alaani yanayojiri S.kusini

Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa, Ban Ki Moon amelaani kufukuzwa kwa mratibu wa misaada ya kibinaadam Sudani kusini

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani