Dkt. Shein afanya ziara Pemba

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema Shein wakisalimiana na Viongozi mbali mbali walipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Karume katika ziara ya kuzindua miradi mbali mbali ya maendeleo katika Mkoa wa kaskazini Pemba.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifungua pazia kama ishara ya uzinduzi wa Mradi wa majisafi na salama katika kijiji cha Taif wete kaskazini Pemba leo akiwa katika ziara ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziDKT. SHEIN AFANYA UZINDUZI WA MRADI WA (HIMA) MAKANGALE, PEMBA
10 years ago
Michuzi
DKT. SHEIN AFANYA ZIARA MAENEO YALIYOKUMBWA NA MAAFA YA MVUA, ZANZIBAR


10 years ago
Michuzi
DKT. SHEIN AFANYA ZIARA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA ABEID AMANI KARUME, ZANZIBAR


5 years ago
CCM BlogRAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AWASILI ZANZIBAR AKITOKEA PEMBA BAADA YA KUMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU PEMBA.
9 years ago
Michuzi
Rais afanya ziara kisiwani Pemba kutembelea miradi ya Maendeleo


11 years ago
Michuzi.jpg)
DKT SHEIN AWASILI KISIWANI PEMBA LEO
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Michuzi
DKT SHEIN AFUTARISHA WANANCHI KASKAZINI PEMBA


11 years ago
Michuzi
DKT SHEIN AZINDUA BARABARA PEMBA LEO

