Waziri Kawambwa afanya ziara Mkoani Morogoro
Picha na Habari Na John Nditi, Morogoro
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa, amefanya ziara ya kikazi katika mkoa wa Morogoro iliyaonza Oktoba 20 na kufikia tamati 22, 2014
Katika ziara hiyo ya kikazi, waziri baada ya kupkea taarifa ya hali ya elimu mkoa, alitembelea Shule ya Kilakala Sekondari ya wasichana wa vipaji maalumu kwa ajili ya kupata taarifa za elimu na kukagua miundombinu ya shule.
Waziri huyo mwenye dhamana na sekta ya elimu, pia alikitembelea Chuo cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA KATIKA MAKABURI YA WAHANGA WA AJARI YA MOTO MOROGORO

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kasimu Majaliwa akiwa katika makaburi ya wahanga wa Ajari ya Moto iliyotekea Agosti 10 Mwaka jana eneo la Msavu Mkoani Morogoro.

Na Farida Saidy, Globu ya Jamii Morogoro
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kasimu Majaliwa Amefanya ziara katika makaburi ya wahanga wa Ajari ya Moto iliyotekea Agost 10 Mwaka jana,...
10 years ago
MichuziWaziri wa Ujenzi Afanya ziara Mkoani Mbeya
10 years ago
MichuziWAZIRI LUKUVI AFANYA ZIARA YA KIKAZI MKOANI TABORA
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAJI AMALIZA ZIARA YAKE MKOANI MOROGORO
Mhe. Makalla amemaliza ziara hiyo kwa kutembelea miradi ya maji ya Halmashauri za Wilaya za Ulanga na Kilombero na kukagua utekelezaji wake.
“Utekelezaji unaenda vizuri, isipokuwa kasi iongezwe ili miradi yote ikamilike kwa wakati, na nitafuatilia kwa ukaribu miradi yote niliyoikagua na nitarudi kuangalia maendeleo yake”. Wakati umefika kuhakikisha sekta ya maji inatekeleza sera zake...
11 years ago
Michuzi.jpg)
ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA MAJI AMOS MAKALLA MKOANI MOROGORO
.jpg)
.jpg)
10 years ago
GPLWAZIRI LUKUVI AFANYA ZIARA MKOANI IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI
10 years ago
MichuziWAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI AFANYA ZIARA MKOANI MBEYA