WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA KATIKA MAKABURI YA WAHANGA WA AJARI YA MOTO MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-USyyJeSvxu4/XmebVKd4q3I/AAAAAAALicA/cm-UuAOAMfEytZNW19n2f661WDs32nRJwCLcBGAsYHQ/s72-c/pix%2B01.jpg)
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kasimu Majaliwa akiwa katika makaburi ya wahanga wa Ajari ya Moto iliyotekea Agosti 10 Mwaka jana eneo la Msavu Mkoani Morogoro.Muonekano wa nje katika eneo la Makaburi ya kola Manispaa ya Morogoro,ambapo pia wamezikwa wahanga wa ajari ya moto.
Na Farida Saidy, Globu ya Jamii Morogoro
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kasimu Majaliwa Amefanya ziara katika makaburi ya wahanga wa Ajari ya Moto iliyotekea Agost 10 Mwaka jana,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWaziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge Mhe Jenista Mhagama afanya Ziara ya Kiserikali katika Bunge la Zambia
10 years ago
MichuziWaziri Kawambwa afanya ziara Mkoani Morogoro
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa, amefanya ziara ya kikazi katika mkoa wa Morogoro iliyaonza Oktoba 20 na kufikia tamati 22, 2014
Katika ziara hiyo ya kikazi, waziri baada ya kupkea taarifa ya hali ya elimu mkoa, alitembelea Shule ya Kilakala Sekondari ya wasichana wa vipaji maalumu kwa ajili ya kupata taarifa za elimu na kukagua miundombinu ya shule.
Waziri huyo mwenye dhamana na sekta ya elimu, pia alikitembelea Chuo cha...
11 years ago
Dewji Blog12 May
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu afanya ziara Mkoani Dodoma
Wakurugenzi wa Ofisi ya Waziri Mkuu waki kagua moja ya Mradi uanao tekelezwa na ( CDA) Miradi hii nikatika mpango wa matokeo makubwa sasa (BRN).
Katibu Mkuu Ofisi ya waziri Mkuu Dkt : Florens M Turuka wa (katikati) akitoa maelekezo kwa Wakurugenzi wa OWM walipo tembelea eneo la mradi wa Makaburi ya Viongozi katika eneo la Mlimani.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa (CDA) Bw: Pascal Muragiri akitoa maelezo ya mradi wa Barabara unaotekelezwa na CDA kwa msaada wa Benki ya Dunia wanao...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MITARO NA MAENEO YALIYOATHILIWA NA KIPINDUPINDU JIJINI DAR
10 years ago
MichuziMkurugenzi Mkuu na Mwendeshaji Mkuu wa Benki ya Dunia afanya ziara katika Bandari ya Dar es Salaam
10 years ago
Vijimambo24 Feb
Mwili wa marehemu MEZ B umepumzishwa katika makaburi ya WAHANGA, DODOMA
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG-20150223-WA0036.jpg)
Amin
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG-20150223-WA0037.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG-20150223-WA0038.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG-20150223-WA0039.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG-20150223-WA0040.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG-20150223-WA0041.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG-20150223-WA0042.jpg)
10 years ago
VijimamboWAZIRI MKUU MHE. MIZENGO PINDA AFANYA ZIARA POLLAND
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA KATIKA MKOA WA TABORA
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA KATIKA MIKOA YA LINDI, MTWARA
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene amefanya ziara mkoani Lindi na Mtwara mwanzoni mwa wiki kukagua miradi mbalimbali iliyo chini ya Wizara yake ambapo aliahidi huduma za umeme na maji kwa wananchi mbalimbali.
Akiwa Madimba mkoani Mtwara, baada ya kupokea taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa mtambo wa kuchakata gesi, Waziri Simbachawene alimwagiza Msimamizi Mkuu wa Mradi wa Bomba la gesi, Mhandisi Kapuulya Musomba kutoa huduma ya maji safi kwa wananchi wanaozunguka...