WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA KATIKA MKOA WA TABORA
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (katikati) akitoa maelekezo kwa uongozi wa kijiji cha Tura wilayani Uyui mkoani Tabora kuhakikisha umefanya mkutano na wananchi ili kufanya makubaliano jinsi ya kusimamia mradi wa umeme wa kontena ili wananchi waanze kunufaika mara moja.
Mtaalamu kutoka Kampuni ya Chico – CCC, Luo Xiaoyong (kulia) akitoa maelezo kwa Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (kushoto) juu ya hatua iliyofikiwa ya utekelezaji wa mradi wa kusambaza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA KATIKA MKOA WA SIMIYU KUKAGUA MIRADI YA UMEME NA KUZUNGUMZA NA WANANCHI
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA KATIKA MIKOA YA LINDI, MTWARA
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene amefanya ziara mkoani Lindi na Mtwara mwanzoni mwa wiki kukagua miradi mbalimbali iliyo chini ya Wizara yake ambapo aliahidi huduma za umeme na maji kwa wananchi mbalimbali.
Akiwa Madimba mkoani Mtwara, baada ya kupokea taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa mtambo wa kuchakata gesi, Waziri Simbachawene alimwagiza Msimamizi Mkuu wa Mradi wa Bomba la gesi, Mhandisi Kapuulya Musomba kutoa huduma ya maji safi kwa wananchi wanaozunguka...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f9lqJEtlw9o/VnQeGWgg4FI/AAAAAAAINRM/f3tyDe7szOg/s72-c/IMG_8683.jpg)
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA MITAMBO YA GESI YA TEGETA JIJINI DAR.
Na kukagua mitambo hiyo leo na kubaini kuwa umeme uniti moja inatengenezwa kwa gharama ya shilingi 90 na kuuzwa kwa wananchi kwa shilingi 180 ikiwa ni kiwango kikubwa kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ld3ApoPSZ5M/VWiXtYoI2GI/AAAAAAAHasg/nM8aQ3WlMYo/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
NAIBU WAZIRI MKUU WA AUSTRALIA MAGHARIBI KIM HAMES AFANYA ZIARA WIZARA YA NISHATI NA MADINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ld3ApoPSZ5M/VWiXtYoI2GI/AAAAAAAHasg/nM8aQ3WlMYo/s640/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-weB5OHkLpzw/VWiXtSwGNQI/AAAAAAAHask/5u_1OjBnQ4A/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WRFpIS6kamo/VLYPdaDy7YI/AAAAAAAG9PI/BQ2tN2YPrwo/s72-c/Untitled1.png)
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi afanya ziara katika Wilaya ya Momba na Mkoa wa Rukwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-WRFpIS6kamo/VLYPdaDy7YI/AAAAAAAG9PI/BQ2tN2YPrwo/s1600/Untitled1.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-clbeuTZwjIY/VLYPdcRyaeI/AAAAAAAG9PA/ht8-rdmhku8/s1600/Untitled2.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-z48VdpgBszQ/VTtaLGGJufI/AAAAAAABMgI/OzqlYQZSrLk/s72-c/1.jpg)
MH. MBOWE AFANYA ZIARA ZA CHAMA MKOA WA SIMIYU NA TABORA
![](http://4.bp.blogspot.com/-z48VdpgBszQ/VTtaLGGJufI/AAAAAAABMgI/OzqlYQZSrLk/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9sorw4HNmHQ/VTtaLUwKgwI/AAAAAAABMgg/ye0_Dv40sJQ/s1600/2.jpg)
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR AFANYA ZIARA KATIKA WITUO VYA AFYA MKOA WA KASKAZINI ''A'' UNGUJA
10 years ago
VijimamboKANUSHO KUTOKA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUHUSU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-2TdsXVCxyBM/VKLEoGpQUWI/AAAAAAADK_Q/fLIBFnrqdds/s1600/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Utendaji wa Wizara chini ya Waziri wa...
10 years ago
MichuziWAZIRI LUKUVI AFANYA ZIARA YA KIKAZI MKOANI TABORA