WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA KATIKA MKOA WA SIMIYU KUKAGUA MIRADI YA UMEME NA KUZUNGUMZA NA WANANCHI
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo akipokelewa na baadhi ya watendaji kutoka Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) Kanda ya Ziwa na Nishati na Madini mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza. Profesa Muhongo anafanya ziara katika mikoa ya Simiyu, Tabora na Shinyanga lengo likiwa ni kukagua miradi ya umeme vijijini inayotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kushirikiana na Taneesco.
Mkazi wa kijiji cha Ihale kilichopo wilayani Busega mkoani Simiyu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA KATIKA MKOA WA TABORA
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA KATIKA MIKOA YA LINDI, MTWARA
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene amefanya ziara mkoani Lindi na Mtwara mwanzoni mwa wiki kukagua miradi mbalimbali iliyo chini ya Wizara yake ambapo aliahidi huduma za umeme na maji kwa wananchi mbalimbali.
Akiwa Madimba mkoani Mtwara, baada ya kupokea taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa mtambo wa kuchakata gesi, Waziri Simbachawene alimwagiza Msimamizi Mkuu wa Mradi wa Bomba la gesi, Mhandisi Kapuulya Musomba kutoa huduma ya maji safi kwa wananchi wanaozunguka...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f9lqJEtlw9o/VnQeGWgg4FI/AAAAAAAINRM/f3tyDe7szOg/s72-c/IMG_8683.jpg)
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA MITAMBO YA GESI YA TEGETA JIJINI DAR.
Na kukagua mitambo hiyo leo na kubaini kuwa umeme uniti moja inatengenezwa kwa gharama ya shilingi 90 na kuuzwa kwa wananchi kwa shilingi 180 ikiwa ni kiwango kikubwa kwa...
9 years ago
Michuzi26 Aug
ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA MAJI AMOS MAKALLA KATIKA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA UJENZI WA MAJI MKOA WA DAR ES SALAAM
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/546-1024x685.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/639-1024x685.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/280.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ld3ApoPSZ5M/VWiXtYoI2GI/AAAAAAAHasg/nM8aQ3WlMYo/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
NAIBU WAZIRI MKUU WA AUSTRALIA MAGHARIBI KIM HAMES AFANYA ZIARA WIZARA YA NISHATI NA MADINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ld3ApoPSZ5M/VWiXtYoI2GI/AAAAAAAHasg/nM8aQ3WlMYo/s640/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-weB5OHkLpzw/VWiXtSwGNQI/AAAAAAAHask/5u_1OjBnQ4A/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAFANYA ZIARA KATIKA MITAMBO YA KUFUA UMEME YA KINYEREZI 1
9 years ago
MichuziZIARA YA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI KWENYE KITUO CHA KUZALISHA UMEME KWA NGUVU YA MAJI, MTERA
Akielezea hali halisi aliyoiona kituoni hapo, Profesa Muhongo alisema kwa wakati huu kituo hicho cha Mtera hakizalishi umeme wa kiasi chochote huku akitaja sababu kuwa ni upungufu wa maji uliosababishwa na matumizi mabaya ya maji ya Bwawa hilo.
Profesa Muhongo alisema njia bora ya utatuzi wa upungufu wa maji kwenye bwawa hilo...
5 years ago
MichuziDC MBONEKO AFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAJI SHINYANGA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-z48VdpgBszQ/VTtaLGGJufI/AAAAAAABMgI/OzqlYQZSrLk/s72-c/1.jpg)
MH. MBOWE AFANYA ZIARA ZA CHAMA MKOA WA SIMIYU NA TABORA
![](http://4.bp.blogspot.com/-z48VdpgBszQ/VTtaLGGJufI/AAAAAAABMgI/OzqlYQZSrLk/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9sorw4HNmHQ/VTtaLUwKgwI/AAAAAAABMgg/ye0_Dv40sJQ/s1600/2.jpg)