Uhamiaji:Cameron kuishawishi Ujerumani
Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron amezungumzo na kansela wa Ujerumani Angela Merkel, kuhusiana na mageuzi katika jumuia ya muungano wa bara ulaya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMaelezo ya Mwanasheria wa Uhamiaji kuhusu sheria mpya za uhamiaji nchini Marekani
Moja wapo lilikuwa ni maelezo ya mwanasheria wa uhamiaji Fatmata Barrie kuhusu maamuzi mapya ya serikali ya Marekani kwenye sheria za uhamiaji.
Karibu umsikilize
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xkD01DKzp4U/VQmAnaOP8zI/AAAAAAAHLSM/Tafk-bsZ7ps/s72-c/unnamed.jpg)
Idara ya Uhamiaji yaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
IDARA ya Uhamiaji nchini,Imesema inaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini na kuwataka wananchi waendelee kutoa taarifa za wahamiaji haramu na hatua zinachukuliwa dhidi ya wahamiaji hao.
Hayo ameyasema,Naibu Kamishina wa Idara ya Uhamiaji na Msemaji wa Mkuu wa Idara hiyo,Abbas Irovya ,amesema idara ya uhamiaji inaendelea kupambana na wahamiaji haramu na kufanya uhamiaji haramu kupungua.
Irovya amesema kuwa kuna gazeti moja la wiki jina tunalihifadhi...
IDARA ya Uhamiaji nchini,Imesema inaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini na kuwataka wananchi waendelee kutoa taarifa za wahamiaji haramu na hatua zinachukuliwa dhidi ya wahamiaji hao.
Hayo ameyasema,Naibu Kamishina wa Idara ya Uhamiaji na Msemaji wa Mkuu wa Idara hiyo,Abbas Irovya ,amesema idara ya uhamiaji inaendelea kupambana na wahamiaji haramu na kufanya uhamiaji haramu kupungua.
Irovya amesema kuwa kuna gazeti moja la wiki jina tunalihifadhi...
10 years ago
GPLWANANCHI HAWAONI KAMA WANAO UWEZO WA KUISHAWISHI SERIKALI
2 Septemba, 2014, Dar es Salaam: Wananchi walio wengi (70%) wanaripoti kuwa sauti zao hazisikiki katika maamuzi ya Serikali. Pamoja na haya, wananchi saba kati ya kumi (71%) wanaripoti kuwa, kwa maoni yao, upigaji kura ndio njia pekee ya kuleta ushawishi kwa Serikali. Kimsingi, haya yanaonesha hisia zilizofanana – kwamba mbali na uchaguzi unaofanywa wakati wa kupiga kura – wananchi wengi hawana ushawishi kwenye...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TV-vdcRhql4/Xmt-8mCtT1I/AAAAAAALi6E/vlYYZ1jNPeAwxfhFDmTByxgNvu5ZtSPBQCLcBGAsYHQ/s72-c/728A7091AA-768x512.jpg)
WADAU KUISHAWISHI SERIKALI KURIDHIA MKATABA WA DEMOKRASIA,UTAWALA BORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TV-vdcRhql4/Xmt-8mCtT1I/AAAAAAALi6E/vlYYZ1jNPeAwxfhFDmTByxgNvu5ZtSPBQCLcBGAsYHQ/s640/728A7091AA-768x512.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha kupambana na vitendo vya ukatili wa Kijinsia (CAGBV), Sophia Komba, ambaye pia ni Mjumbe wa Bodi ya LHRC akiongea na Vyombo vya habari katika kikao hicho kilichowakutanisha wadau wa haki za binadamu ili kuupitia mkataba wa Afrika unaohusu demokrasia, uchaguzi , utawala bora na haki za binadamu kwa lengo la kuweka mikakati ya kushawishi serikali iweze kuuridhia. Mkutano huo ulifanyika Dodoma mapema leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/728A7014AA-1024x682.jpg)
Afisa Programu na Mratibu wa Ofisi Dodoma wa Kituo Sheria...
11 years ago
Michuzi29 Jul
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-oWhYz04d9Ws/VREwo1GRNrI/AAAAAAAAAvk/bz7rgmqMq-4/s72-c/DSC09035.jpg)
WAZIRI WA UCHUKUZI MHE. SAMUEL SITTA AWATAKA VIONGOZI WA SERIKALI KUISHAWISHI JAMII JUU YA UELEWA WA TAARIFA ZA HALI YA HEWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-oWhYz04d9Ws/VREwo1GRNrI/AAAAAAAAAvk/bz7rgmqMq-4/s640/DSC09035.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0bXDXjhk0zE/VREwpCtBSRI/AAAAAAAAAvo/rJwRHtKExeM/s640/DSC09038.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yqrNPc-0gX4/VREwo7IYCTI/AAAAAAAAAvs/uj0eqFD_SXo/s640/DSC09051.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lQb2C5hODEw/VREwp8Df90I/AAAAAAAAAv4/t1dNYIrGbNc/s640/DSC09052.jpg)
Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Samuel Sitta (MB) akiongea na wanahabari kwenye maadhimisho ya Siku ya Hali ya Hewa Duniani yanayofanyika kila ifikapo Tarehe 23 Machi, yenye kauli mbiu isemayo 'Uelewa wa hali ya hewa kwa maamuzi stahiki'. Pembeni ni Mkurugenzi Mkuu TMA, Dkt. Agnes...
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Cameron azuru Lebanon
Waziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, anazuru Lebanon ili kujionea mwenyewe namna msaada kutoka Uingereza unavyotumika huko
10 years ago
BBCSwahili09 May
Cameron aandaa serikali mpya
Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron anatumia wikendi hii kukamilisha orodha yake ya mawaziri baada ya chama chake kushinda
10 years ago
BBCSwahili30 Jul
Cameron atakiwa asiwadhalilishe wahamiaji
Waziri mkuu wa Uingereza ameibua utata, kwa kuwaita wahamiaji haramu wanaojaribu kuvuka mpaka na kuingia Uingereza kama ''bumba la nyuki''.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania