Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WADAU KUISHAWISHI SERIKALI KURIDHIA MKATABA WA DEMOKRASIA,UTAWALA BORA


Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha kupambana na vitendo vya ukatili wa Kijinsia (CAGBV), Sophia Komba, ambaye pia ni Mjumbe wa Bodi ya LHRC akiongea na Vyombo vya habari katika kikao hicho kilichowakutanisha wadau wa haki za binadamu ili kuupitia mkataba wa Afrika unaohusu demokrasia, uchaguzi , utawala bora na haki za binadamu kwa lengo la kuweka mikakati ya kushawishi serikali iweze kuuridhia. Mkutano huo ulifanyika Dodoma mapema leo.

Afisa Programu na Mratibu wa Ofisi Dodoma wa Kituo Sheria...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Vyombo vya dola; adui mkubwa wa demokrasia na utawala bora

Wahenga husema “kikulacho ki-nguoni mwako.” Serikali ya Tanzania imejipambanua na kujipigia debe kama ni serikali inayoongoza kwa kutumia demokrasia na utawala bora.

 

5 years ago

Michuzi

Serikali Inatekeleza Tafsiri Halisi ya Utawala Bora


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora wa Zanzibari, Mhe.Haroun Ali Suleiman (wa kwanza kulia), akizungumza katika Kikao kifupi na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala B ora walipomtembelea Ofisini kwake Mjini Unguja, Zanzibari Juni 4, 2020, kulia ni Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu, Makamu Mwenyekiti Mohamedi Khamis Hamadi, na kushoto ni watendaji kutoka Ofisi ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
Waziri wa Nchi Ofisi ya...

 

9 years ago

StarTV

Serikali Zanzibar kufuata misingi ya utawala bora

 Serikali ya Mapinduzi Zanzibar itaendelea kufuata misingi na taratibu za kisheria katika utawala bora sambamba na kuleta maendeleo kwa watu wote bila kujali dini, rangi au itikadi ya kisiasa.

Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Dokta Ali Mohamed Shein anasema si vyema wanasiasa kutumia majukwaa kuwatisha watu au kuwataja vibaya baadhi ya viongozi kwa kisingizio cha kampeni kwani Serikali ipo na inaweza kumchukulia hatua mtu yeyote atakaonekana anatishia amani na utulivu uliopo...

 

9 years ago

StarTV

Repoa yaitaka serikali mpya kuzingatia utawala bora

Taasisi ya Utafiti na Kupunguza Umaskini nchini (REPOA) imetoa ripoti ya mapendekezo ya kisera kwa serikali mpya itakayoingia madarakani baada ya uchaguzi kuzingatia utawala bora kwa kupambana na rushwa ndani ya sekta za umma na binafsi katika kudhibiti mali za umma.

Mapendekezo mengine ni pamoja na kutengeneza mfumo wa kodi ulio wa haki unaoboresha makusanyo ya mapato, ajira, miundombinu, utekelezaji wa sera na kuongeza nidhamu katika mfumo wa kutoa huduma za umma.

Kutokana na udhaifu wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Nchi za Afrika zahimizwa kuridhia mkataba

Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu, Jaji Agustino Ramadhani ameziomba asasi na taasisi za kisheria na haki za binadamu kuzihimiza nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU), kuridhia mkataba wa kuanzishwa kwa mahakama hiyo.

 

5 years ago

Michuzi

TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA YAIPONGEZA SERIKALI DHIDI YA MAPAMBANO YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).

Kupongeza  juhudi za Serikali dhidi ya Mapambano ya Mlipuko wa Maradhi yanayosababishwa na virusi vya Corona

Itakumbukwa kuwa katikati ya mwezi Machi mwaka huu Serikali ilitangaza mapambano rasmi dhidi ya maradhi yanayosababishwa na virusi vya Corona ambavyo hivi karibuni imekuwa ni janga kubwa duniani.
Serikali ilichukua uamuzi huo baada ya Tanzania kuanza kupata taarifa za uwepo wa wagonjwa wa maradhi hayo nchini na hivyo kuwataka Wananchi kuchukua tahadhari mbalimbali za kujikinga na...

 

10 years ago

Michuzi

MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI PIA ATEMBELEA OFISI YA TUME ZA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ndugu George Masaju akisisitiza jambo mbele ya wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari. Mkutano wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Wahariri wa vyombo vya habari ulikuwa na lengo la kuwapa fursa pana wahariri kuuliza maswali mbalimbali kuhusu ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Absalom Kibanda(katikati) na Mhariri wa gazeti la Jamhuri Manyerere Jackton....

 

9 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI SERIKALI YA JPM?: Selemani Jafo – Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora

Jafo Selemani Saidi ndiye Naibu Waziri wa TAMISEMI, Utumishi na Utawala Bora. Wizara hii iko chini ya Ofisi ya Rais katika Serikali ya Awamu ya Tano, ameteuliwa katika baraza la mwanzo la mawaziri la Rais John Magufuli.

 

10 years ago

GPL

WANANCHI HAWAONI KAMA WANAO UWEZO WA KUISHAWISHI SERIKALI

2 Septemba, 2014, Dar es Salaam: Wananchi walio wengi (70%) wanaripoti kuwa sauti zao hazisikiki katika maamuzi ya Serikali. Pamoja na haya, wananchi saba kati ya kumi (71%) wanaripoti kuwa, kwa maoni yao, upigaji kura ndio njia pekee ya kuleta ushawishi kwa Serikali. Kimsingi, haya yanaonesha hisia zilizofanana – kwamba mbali na uchaguzi unaofanywa wakati wa kupiga kura – wananchi wengi hawana ushawishi kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani