Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nchi za Afrika zahimizwa kuridhia mkataba

Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu, Jaji Agustino Ramadhani ameziomba asasi na taasisi za kisheria na haki za binadamu kuzihimiza nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU), kuridhia mkataba wa kuanzishwa kwa mahakama hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WADAU KUISHAWISHI SERIKALI KURIDHIA MKATABA WA DEMOKRASIA,UTAWALA BORA


Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha kupambana na vitendo vya ukatili wa Kijinsia (CAGBV), Sophia Komba, ambaye pia ni Mjumbe wa Bodi ya LHRC akiongea na Vyombo vya habari katika kikao hicho kilichowakutanisha wadau wa haki za binadamu ili kuupitia mkataba wa Afrika unaohusu demokrasia, uchaguzi , utawala bora na haki za binadamu kwa lengo la kuweka mikakati ya kushawishi serikali iweze kuuridhia. Mkutano huo ulifanyika Dodoma mapema leo.

Afisa Programu na Mratibu wa Ofisi Dodoma wa Kituo Sheria...

 

9 years ago

Habarileo

Afrika yatakiwa kuridhia itifaki haki za binadamu

RAIS wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu(ACHPR), Jaji Augustino Ramadhani amewataka wabunge barani Afrika kuzishinikiza nchi zao kuridhia itifaki ya haki za binadamu iliyokubaliwa miaka 18 iliyopita.

 

9 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA NCHI WATAKIWA KUSHIRIKI, KURIDHIA MABAKUBALIANO YA MKUTANO WA MAENDELEO YA ENDELEVUNCHINI MAREKANI

Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiVIONGOZI wa nchi wametakiwa kushiriki katika mkutano wa umoja wa Mataifa wa kujadili malengo 17 ya maendeleo endelevu utaofanyika Septemba 25 mwaka huu nchini Marekani.


Akizungumza na waandishi  habari leo jijini Dar es Salaam, Mratibu wa Mtandao wa Mabadilliko ya Tabia nchi (CAN), Sixberty Mwanga ,amesema kuwa mkutano huo ni muhimu katika kuweza kutekeleza eneo la mabadiliko ya tabia nchi kutokana na kadri ya siku zinavyoongezeka hali ya ukame inazidi...

 

10 years ago

Michuzi

ufunguzi wa mkutano wa 20 wa nchi wanachama wa mkataba wa umoja wa mataifa wa mabadiliko ya tabia nchi nchini peru

 Kushoto Waziri mh. Fatma  Fereji kutoka Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar, Kulia Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Rais mazingira mh.dkt Binilith Mahenge wakifuatilia hotuba ya katibu mkuu wa umoja wa Mataifa Bw Ban ki Moon hayupo pichani katika ufunguzi wa mkutano wa 20 wa nchi wanachama wa mkataba wa umoja wa mataifa wa mabadiliko ya tabia nchi ulihusisha viongozi wa juu marais na mawaziri..(High level segment) mjini Lima, Peru. Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mkataba wa tabia nchi waafikiwa Paris

Hatimaye mkataba umeafikiwa juu ya mabadiliko ya tabianchi na mataifa karibu 200 katika mkutano uliokuwa ukiendelea Paris kwa majuma mawili

 

10 years ago

Michuzi

mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika kufanyika Agosti 29, jijini Dar

Mheshimiwa Dk. Binilith Mahenge Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira ametoa rai kwa Wananchi wa Tanzania na Afrika kwa ujumla kuweka juhudi katika kupambana na changamoto za mabadiliko ya Tabia Nchi.
Alitoa rai hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar-es-salaam kuhusu mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika jijini Dar-es -salaam katika ukumbi wa...

 

9 years ago

Press

Mkutano wa 10 wa uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)

Picha na 1

Picha na 2

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene akifunga Mkutano wa 10 wa  uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) kwa niaba ya Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo jana. Tanzania imepata heshima ya kuwa mwenyeji wa mkutano huo baada  ya  kuonekana kufanya vizuri katika uhamaji wa matumizi ya mfumo wa analogia kwenda digitali kwa wakati.

Picha na 3

Mkurugenzi wa Idara...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kikwete amezitaka nchi za Afrika kuipa nguvu Mahakama ya Afrika ili iweze kusikiliza kesi za jinai

531-1024x634

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwahutubia wafanyakazi na viongozi wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu mjini Arusha.

177

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za binadamu Jaji Agustino Ramadhani wakizindua kitabu cha taarifa za msingi kuhusu mahakama hiyo kwenye Ukumbi wa Kibo kwenye majengo ya Mahakama hiyo mjini Arusha.Rais Kikwete alitumia fursa hiyo kuagana na viongozi na wafanyakazi wa mahakama hiyo.

257

Na Mahmoud Ahmad, Arusha

Rais Jakaya Kikwete...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMA SALMA KIKWETE ASHIRIKI MKUTANO WA WAKE WA MARAIS NA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA HUKO AFRIKA KUSINI

1Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mke wa Mfalme Mswatti wa Swaziland, muda mfupi kabla ya kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa Mkutano wa 25 wa Marais na Wakuu wa Nchi za Afrika (AU) unaofanyika Sandton International Conference Center huko Johanessburg Afrika Kusini tarehe 14.6.2015. Aliyesimama kulia ni Mke wa Rais wa Afrika Kusini Mama Tobeka Madiba Zuma.2Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mama Antoinette Sessou Nguesso Mke wa Rais Dennis Sessou Nguesso wa Congo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani