Mkataba wa tabia nchi waafikiwa Paris
Hatimaye mkataba umeafikiwa juu ya mabadiliko ya tabianchi na mataifa karibu 200 katika mkutano uliokuwa ukiendelea Paris kwa majuma mawili
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iO_IHWeO_Vg/VIdabmUrnGI/AAAAAAAG2Qw/yZxc0WlCpIU/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
ufunguzi wa mkutano wa 20 wa nchi wanachama wa mkataba wa umoja wa mataifa wa mabadiliko ya tabia nchi nchini peru
![](http://1.bp.blogspot.com/-iO_IHWeO_Vg/VIdabmUrnGI/AAAAAAAG2Qw/yZxc0WlCpIU/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-J_tAh0X--fw/VIdabrDJPlI/AAAAAAAG2Q0/lol9Gagkkco/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
9 years ago
Habarileo06 Sep
Bilal ahimiza utayari mkataba mpya mabadiliko tabia nchi
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amezitaka nchi za Afrika kuwa tayari kwa makubaliano mapya yatakayowezesha kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.
11 years ago
BBCSwahili11 May
Mkataba wa amani waafikiwa Sudan kusini
10 years ago
Dewji Blog05 Aug
Nchi wahisani watoa dola za Marekani milioni 802.15 kukabili mabadiliko ya tabia nchi
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Tausi Kida akimkaribisha ofisini kwake Mwakilishi wa mtandao wa FANPRAN, Sithembile Ndema kwa ajili ya kusaini kitabu cha wageni kabla ya kuelekea kwenye ukumbi wa mikutano.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Mwandishi wetu
JUMLA ya dola za Marekani milioni 802.15 zimetolewa na nchi wahisani katika kusaidia mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabia nchi katika kipindi cha miaka miaka mine iliyopita.
Hayo...
11 years ago
MichuziWaziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Rais Dkt Mahenge azindua tovuti ya mabadliko ya tabia nchi.
9 years ago
MichuziWadau wakutana Dar kujadili Mkataba Mpya wa Mabadiliko ya Tabianchi ‘Paris Agreement’
Mkutano huo wa wadau umeandaliwa na ForumCC kwa kushirikiana na Rosa Luxemburg Stiftung (RLS) kwa lengo la kuangalia mazidi na mapungufu ya mkataba huo ambao umeweka historia mpya ya kuelekea juhudi za...
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
MODEWJIBLOG LIVE IN PARIS: Katika maandamano ya amani – mwitikio rasmi wa mkataba wa COP21!!
Baadhi ya waandamanaj ambao ni wanaharakati na makundi ya kijamii yanayopigania upatikanaji wa haki kwenye sualla la mazingira hasa Mabadiliko ya tabianchi (Climate Change) wakiwa katika jiji la Paris katika maandamano ya kihistoria wakishinikiza Mataifa tajiri na yenye viwanda kuakikisha wanapunguza joto hadi kufikia nyuzi joto 1.5 hapo baadae. Maandamano hayo yalianzia katikati ya jiji la Paris na kuishia kwenye viwanja vya Mnara maarufu katika jiji hili wa Eiffel tower. (Picha zote na...
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
Tabia nchi yaunganisha mataifa
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Tanzania na mabadiliko ya tabia nchi