Serikali Zanzibar kufuata misingi ya utawala bora
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar itaendelea kufuata misingi na taratibu za kisheria katika utawala bora sambamba na kuleta maendeleo kwa watu wote bila kujali dini, rangi au itikadi ya kisiasa.
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Dokta Ali Mohamed Shein anasema si vyema wanasiasa kutumia majukwaa kuwatisha watu au kuwataja vibaya baadhi ya viongozi kwa kisingizio cha kampeni kwani Serikali ipo na inaweza kumchukulia hatua mtu yeyote atakaonekana anatishia amani na utulivu uliopo...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo12 May
Misingi ya utawala bora yaendelea kuwekwa
SERIKALI ya Tanzania imeendelea kuweka misingi imara ya kufanyia kazi maoni ya wananchi kuhusu hali ya utawala bora nchini, kama yalivyobainishwa kupitia Ripoti ya Hali ya Utawala Bora iliyoandaliwa na Mpango wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM).
9 years ago
StarTV30 Nov
Wauguzi Zanzibar wahimizwa kufuata misingi ya taaluma
Katika kuhakikisha jamii inapatiwa huduma bora hususani za afya wanafunzi wa chuo cha sayansi ya afya Mbweni kilichopo visiwani Zanzibar wametakiwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo ili kuihudumia jamii kwa kufuata misingi ya taaluma zao.
Hali hiyo itasaidia kupunguza malalamiko kwa wagonjwa ambao kwa kiasi kikubwa kada ya uuguzi ndiyo inayolalamikiwa kutokana na baadhi ya wahudumu wa afya kutoa lugha chafu pale wanapowahudumia wagonjwa.
Baadhi ya kazi ...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZdiEBUUgaB0/U6m85PF_sSI/AAAAAAAFssM/kqp-8-MfL9k/s72-c/New+Picture.png)
RAIS KIKWETE ATAJA MISINGI MIKUU MITANO YA UTHIBITISHO WA KUSHAMIRI KWA UTAWALA BORA NCHINI
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZdiEBUUgaB0/U6m85PF_sSI/AAAAAAAFssM/kqp-8-MfL9k/s1600/New+Picture.png)
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com press@ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE, THE STATE HOUSE, P.O. BOX 9120, DAR ES SALAAM. Tanzania. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametaja misingi mikuu mitano ambayo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-36zzI4l95OY/Xt-wnq7bDiI/AAAAAAALtN4/ISlLUZPAAqgq04klaCOvzlvMVOhC8iJwwCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC2669AAA-768x426.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AZUNGUMZA NA MWENYEKITI WA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA IKULU ZANZIBAR LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-36zzI4l95OY/Xt-wnq7bDiI/AAAAAAALtN4/ISlLUZPAAqgq04klaCOvzlvMVOhC8iJwwCLcBGAsYHQ/s640/DSC2669AAA-768x426.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/DSC2669AAA-1-1024x568.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Ujumbe wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Tanzania ukiongozwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo (kulia kwa Rais) Jaji Mstaaf. Mathew Paua Mhina, walipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha, hafla hiyo imefanyika leo 9/6/2020 katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ahsx57t9Y7E/XtvUumy32HI/AAAAAAALs2c/dcw2rSY47i8kck3Xu7vbpFoEtvapw-VgwCLcBGAsYHQ/s72-c/8dba7a4b-2f74-467c-9c1b-2a465f5d9f72.jpg)
Serikali Inatekeleza Tafsiri Halisi ya Utawala Bora
![](https://1.bp.blogspot.com/-ahsx57t9Y7E/XtvUumy32HI/AAAAAAALs2c/dcw2rSY47i8kck3Xu7vbpFoEtvapw-VgwCLcBGAsYHQ/s640/8dba7a4b-2f74-467c-9c1b-2a465f5d9f72.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora wa Zanzibari, Mhe.Haroun Ali Suleiman (wa kwanza kulia), akizungumza katika Kikao kifupi na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala B ora walipomtembelea Ofisini kwake Mjini Unguja, Zanzibari Juni 4, 2020, kulia ni Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu, Makamu Mwenyekiti Mohamedi Khamis Hamadi, na kushoto ni watendaji kutoka Ofisi ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/a86a8afb-f5d8-48c2-b265-e8995e6cce1b.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya...
9 years ago
StarTV23 Oct
Repoa yaitaka serikali mpya kuzingatia utawala bora
Taasisi ya Utafiti na Kupunguza Umaskini nchini (REPOA) imetoa ripoti ya mapendekezo ya kisera kwa serikali mpya itakayoingia madarakani baada ya uchaguzi kuzingatia utawala bora kwa kupambana na rushwa ndani ya sekta za umma na binafsi katika kudhibiti mali za umma.
Mapendekezo mengine ni pamoja na kutengeneza mfumo wa kodi ulio wa haki unaoboresha makusanyo ya mapato, ajira, miundombinu, utekelezaji wa sera na kuongeza nidhamu katika mfumo wa kutoa huduma za umma.
Kutokana na udhaifu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TV-vdcRhql4/Xmt-8mCtT1I/AAAAAAALi6E/vlYYZ1jNPeAwxfhFDmTByxgNvu5ZtSPBQCLcBGAsYHQ/s72-c/728A7091AA-768x512.jpg)
WADAU KUISHAWISHI SERIKALI KURIDHIA MKATABA WA DEMOKRASIA,UTAWALA BORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TV-vdcRhql4/Xmt-8mCtT1I/AAAAAAALi6E/vlYYZ1jNPeAwxfhFDmTByxgNvu5ZtSPBQCLcBGAsYHQ/s640/728A7091AA-768x512.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha kupambana na vitendo vya ukatili wa Kijinsia (CAGBV), Sophia Komba, ambaye pia ni Mjumbe wa Bodi ya LHRC akiongea na Vyombo vya habari katika kikao hicho kilichowakutanisha wadau wa haki za binadamu ili kuupitia mkataba wa Afrika unaohusu demokrasia, uchaguzi , utawala bora na haki za binadamu kwa lengo la kuweka mikakati ya kushawishi serikali iweze kuuridhia. Mkutano huo ulifanyika Dodoma mapema leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/728A7014AA-1024x682.jpg)
Afisa Programu na Mratibu wa Ofisi Dodoma wa Kituo Sheria...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-P4MQwULCuMQ/Xpgg8RgQKPI/AAAAAAALnJM/XvZWNjTbQKscRFs2PD4B4OG31GBnAmnTACLcBGAsYHQ/s72-c/New%2BPicture.png)
TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA YAIPONGEZA SERIKALI DHIDI YA MAPAMBANO YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).
![](https://1.bp.blogspot.com/-P4MQwULCuMQ/Xpgg8RgQKPI/AAAAAAALnJM/XvZWNjTbQKscRFs2PD4B4OG31GBnAmnTACLcBGAsYHQ/s320/New%2BPicture.png)
Itakumbukwa kuwa katikati ya mwezi Machi mwaka huu Serikali ilitangaza mapambano rasmi dhidi ya maradhi yanayosababishwa na virusi vya Corona ambavyo hivi karibuni imekuwa ni janga kubwa duniani.
Serikali ilichukua uamuzi huo baada ya Tanzania kuanza kupata taarifa za uwepo wa wagonjwa wa maradhi hayo nchini na hivyo kuwataka Wananchi kuchukua tahadhari mbalimbali za kujikinga na...