RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AZUNGUMZA NA MWENYEKITI WA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA IKULU ZANZIBAR LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-36zzI4l95OY/Xt-wnq7bDiI/AAAAAAALtN4/ISlLUZPAAqgq04klaCOvzlvMVOhC8iJwwCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC2669AAA-768x426.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Ujumbe wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Tanzania ukiongozwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo (kulia kwa Rais) Jaji Mstaaf. Mathew Paua Mhina, walipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha, hafla hiyo imefanyika leo 9/6/2020 katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi07 Jan
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Tamko kuhusu ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga akiongea na waandishi wa habari (hawako pichani) leo mchana makao makuu ya ofisi za Tume, mtaa wa Barack Obama jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mhe. Nyanduga akitoa tamko kuhusu ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar.
Ushauri wa THBUB kwa Tume ya Uchaguzi Zbar.doc
10 years ago
Dewji Blog08 Jan
JK ateua Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Makamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
UTEUZI – TUME YA HAKI ZA BINADAMU.doc by moblog
10 years ago
Habarileo08 Jan
JK ateua Mwenyekiti Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Bahame Nyanduga kuwa Mwenyekiti Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.
5 years ago
CCM BlogRAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AZUNGUMZA NA BALOZI WA NIGERIA IKULU JIJINI ZANZIBAR, LEO
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qMPiN_25YM8/XmNMx-rjusI/AAAAAAACIQc/3R5EQC1EIuw1uAR1j6ndcN-6TdAwTJZjACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200307_102122_258.jpg)
TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA YAMPONGEZA JPM KUKUTANA NA WAPINZANI, IKULU
![](https://1.bp.blogspot.com/-qMPiN_25YM8/XmNMx-rjusI/AAAAAAACIQc/3R5EQC1EIuw1uAR1j6ndcN-6TdAwTJZjACLcBGAsYHQ/s1600/IMG_20200307_102122_258.jpg)
Viongozi hao ni Mshauri wa Chama cha ACT-Wazalendo, Maalimu Seif Sharif Hamad, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Bwana James Mbatia, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD).
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB)...
9 years ago
MichuziRais Kikwete atembelea na kuaga rasmi Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uM83x00mkms/U_X9ldcYUBI/AAAAAAAGBMM/zRdYDItx5nM/s72-c/unnamed%2B(91).jpg)
Balozi wa Uholanzi azungumza na Rais Dk.Shein,Ikulu Zanzibar leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-uM83x00mkms/U_X9ldcYUBI/AAAAAAAGBMM/zRdYDItx5nM/s1600/unnamed%2B(91).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-O5UaTmV2r6Q/U_X9pqXpvII/AAAAAAAGBMc/BxlmYtYwkAU/s1600/unnamed%2B(93).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sdj6wmbntCA/U_X9mP63d1I/AAAAAAAGBMQ/XIPEMZHv7K0/s1600/unnamed%2B(92).jpg)
11 years ago
MichuziRAIS SHEIN AZUNGUMZA NA WAZIRI MATHIAS CHIKAWE IKULU ZANZIBAR LEO