RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AZUNGUMZA NA BALOZI WA NIGERIA IKULU JIJINI ZANZIBAR, LEO
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Ujumbe wa Wafanyabiashara kutoka Nchini Nigeria, walipofika Ikulu Jijini Zanzibar wakiongozana na Balozi wa Nigeria Nchini Tanzania Dk. Sahabi Isa Gada (katikati) kuonana na Rais na kufanya mazungumzo leo 5/3/2020. Picha na Ikulu, Zanzibar. KWA PICHA ZAIDI >>BOFYA HAPA
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6lhUS6SgJiI/XmD1_eSTwLI/AAAAAAALhNs/6uznIcNLYZEvDB6w6IGOdNzmQcs1us25gCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC7911AAA-768x439.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uM83x00mkms/U_X9ldcYUBI/AAAAAAAGBMM/zRdYDItx5nM/s72-c/unnamed%2B(91).jpg)
Balozi wa Uholanzi azungumza na Rais Dk.Shein,Ikulu Zanzibar leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-uM83x00mkms/U_X9ldcYUBI/AAAAAAAGBMM/zRdYDItx5nM/s1600/unnamed%2B(91).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-O5UaTmV2r6Q/U_X9pqXpvII/AAAAAAAGBMc/BxlmYtYwkAU/s1600/unnamed%2B(93).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sdj6wmbntCA/U_X9mP63d1I/AAAAAAAGBMQ/XIPEMZHv7K0/s1600/unnamed%2B(92).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gUZqBZ9-Kpk/Xl1lxRuskfI/AAAAAAALgeQ/pmSkmuDTzcIrc3ttBUarqR-r-B-SP_cfACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC7104AA-768x426.jpg)
RAIS SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA UJENZI MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI ZANZIBAR. IKULU JIJINI ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-gUZqBZ9-Kpk/Xl1lxRuskfI/AAAAAAALgeQ/pmSkmuDTzcIrc3ttBUarqR-r-B-SP_cfACLcBGAsYHQ/s640/DSC7104AA-768x426.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC7110AA-1024x567.jpg)
RAIS wa Zanzibar Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein , akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar, wakati wa kupokea taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa Wizara hiyo kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 , mkutano uliofanyika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, (kulia kwa Rais)...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-36zzI4l95OY/Xt-wnq7bDiI/AAAAAAALtN4/ISlLUZPAAqgq04klaCOvzlvMVOhC8iJwwCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC2669AAA-768x426.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AZUNGUMZA NA MWENYEKITI WA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA IKULU ZANZIBAR LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-36zzI4l95OY/Xt-wnq7bDiI/AAAAAAALtN4/ISlLUZPAAqgq04klaCOvzlvMVOhC8iJwwCLcBGAsYHQ/s640/DSC2669AAA-768x426.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/DSC2669AAA-1-1024x568.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Ujumbe wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Tanzania ukiongozwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo (kulia kwa Rais) Jaji Mstaaf. Mathew Paua Mhina, walipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha, hafla hiyo imefanyika leo 9/6/2020 katika...
5 years ago
MichuziRAIS DKT. SHEIN AZUNGUMZA NA WAZIRI SIMBACHAWENE IKULU JIJINI ZANZIBAR
11 years ago
MichuziRAIS SHEIN AZUNGUMZA NA WAZIRI MATHIAS CHIKAWE IKULU ZANZIBAR LEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8eC0AlXm19E/Xk_3YK5ZK1I/AAAAAAALevM/rjGyrMUvausn3Tp8Sz4eNr2yDPOOnLT1ACLcBGAsYHQ/s72-c/a1c52346-b866-48f9-a6b7-ba8b65c01f90.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AZUNGUMZA NA KATIBU MTENDAJI WA SADC,DKT.TAX IKULU,ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-8eC0AlXm19E/Xk_3YK5ZK1I/AAAAAAALevM/rjGyrMUvausn3Tp8Sz4eNr2yDPOOnLT1ACLcBGAsYHQ/s640/a1c52346-b866-48f9-a6b7-ba8b65c01f90.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Katibu Mtendaji wa SADC Dkt. Stergomena Lawrence Tax, alipowasili katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar alipofika kuonana na kufanya mazungumzo leo 21-2-2020.(Picha na Ikulu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/06640c7d-a9e9-44de-93bf-11e78c79fed8.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TemWwfoAqKY/XlQH6QFicyI/AAAAAAALfL4/Ykttwhp5t5gC-lnMHjuxPBW6Jmc2st3kgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC6355AA-1024x599.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR IKULU
![](https://1.bp.blogspot.com/-TemWwfoAqKY/XlQH6QFicyI/AAAAAAALfL4/Ykttwhp5t5gC-lnMHjuxPBW6Jmc2st3kgCLcBGAsYHQ/s640/DSC6355AA-1024x599.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC6357AA-1024x613.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, katika mkutano wa uwasilishaji wa Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa Ofisi hiyo kwa kipindi cha mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC6365AA-1024x606.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qEoiD0sC0WQ/XkbN7OFErTI/AAAAAAALdbM/H8H700epV3EqlV3EoNbPG0YC4PwT6xofwCLcBGAsYHQ/s72-c/8b7d75d3-8935-4a7a-9d21-6f678c552e28.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AHUDHURIA MAZIKO YA MAREHEMU ALI SALIM HAFIDH NA AZUNGUMZA NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS MUUNGANO NA MAZINGIRA IKULU ZANZIBAR.
![](https://1.bp.blogspot.com/-qEoiD0sC0WQ/XkbN7OFErTI/AAAAAAALdbM/H8H700epV3EqlV3EoNbPG0YC4PwT6xofwCLcBGAsYHQ/s640/8b7d75d3-8935-4a7a-9d21-6f678c552e28.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiweka mchanga katika kaburi la Marehemu Ali Salim Hafidh, aliyekuwa Msaidi wa Rais Hutuba , maziko hayo yamefanyika katika makaburi ya family Fuoni Mambosasa Wilaya ya Magharibi “B” Unguja.(Picha na Ikulu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/f4aaa3cf-e447-42d0-abfa-d6e575f60f00.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania