RAIS KIKWETE ATAJA MISINGI MIKUU MITANO YA UTHIBITISHO WA KUSHAMIRI KWA UTAWALA BORA NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZdiEBUUgaB0/U6m85PF_sSI/AAAAAAAFssM/kqp-8-MfL9k/s72-c/New+Picture.png)
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com
press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametaja misingi mikuu mitano ambayo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo12 May
Misingi ya utawala bora yaendelea kuwekwa
SERIKALI ya Tanzania imeendelea kuweka misingi imara ya kufanyia kazi maoni ya wananchi kuhusu hali ya utawala bora nchini, kama yalivyobainishwa kupitia Ripoti ya Hali ya Utawala Bora iliyoandaliwa na Mpango wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM).
9 years ago
StarTV07 Oct
Serikali Zanzibar kufuata misingi ya utawala bora
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar itaendelea kufuata misingi na taratibu za kisheria katika utawala bora sambamba na kuleta maendeleo kwa watu wote bila kujali dini, rangi au itikadi ya kisiasa.
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Dokta Ali Mohamed Shein anasema si vyema wanasiasa kutumia majukwaa kuwatisha watu au kuwataja vibaya baadhi ya viongozi kwa kisingizio cha kampeni kwani Serikali ipo na inaweza kumchukulia hatua mtu yeyote atakaonekana anatishia amani na utulivu uliopo...
10 years ago
Mwananchi25 Jul
Rais Kikwete apewa Tuzo ya Utawala Bora
9 years ago
VijimamboRais Kikwete apokea Tuzo ya Utawala Bora
10 years ago
Dewji Blog25 Jul
Rais Kikwete atunukiwa Tuzo ya Kudumisha Utawala Bora Barani Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Jitihada za muongo mzima wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kuimarisha na kudumisha Utawala Bora katika Tanzania zimetambuliwa kimataifa kwa Rais kutunukiwa Tuzo la Utawala Bora Barani Afrika mwaka 2015 (Good Governance in Africa.)
Rais Kikwete ametunukiwa Tuzo hiyo na Taasisi ya African Achievers Awards yenye makao yake makuu katika Afrika Kusini kutokana na kutambua mchango...
9 years ago
MichuziRais Kikwete atembelea na kuaga rasmi Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
9 years ago
StarTV23 Sep
Wana-Afrika Mashariki waishia nje wamtunuku Rais Kikwete utawala bora
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete ametunukiwa tuzo nyingine, mara hii ikitolewa na wananchi wa Afrika Mashariki wanaoishi nje hususani Marekani ikilenga kutambua utawala bora wa uongozi wake katika nchi hizo.
Tuzo hiyo imetolewa kwa ushirikiano kati ya Wana-Afrika Mashariki hao na Baraza la Biashara la Waishio Nje EADBC ambalo linaunganisha wafanyabiashara wa nchi hizo.
Tuzo hiyo kwa Rais Kikwete ilitolewa usiku wa Jumapili, Septemba 20, 2015, katika sherehe...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Di1bom0kdP4/Xu4ej5xogpI/AAAAAAABoPI/lsB9c2G_GA8vjo4brqUgw4CYCb5cW8MmQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC1734.jpg)
RAIS SHEIN ATAJA MATUKIO YALIYOTIKISA UTAWALA WAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-Di1bom0kdP4/Xu4ej5xogpI/AAAAAAABoPI/lsB9c2G_GA8vjo4brqUgw4CYCb5cW8MmQCLcBGAsYHQ/s400/DSC1734.jpg)
Mwaka huu Rais Shein anamaliza muda wake wa vipindi viwili kuiongoza Zanzibar (2010/2015 na 2015/2020), tangu alipoingia madarakani mwezi Novemba 2010.
Akihutubia wakati anavunja shughuli za Baraza la Tisa la Wawakilishi la Zanzibar, leo Jumamosi tarehe 20 Juni 2020, Rais Shein amesema utawala wake uliongoza kwa kuwa upandikizwaji chuki, dharau na...