Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vyombo vya dola; adui mkubwa wa demokrasia na utawala bora

Wahenga husema “kikulacho ki-nguoni mwako.” Serikali ya Tanzania imejipambanua na kujipigia debe kama ni serikali inayoongoza kwa kutumia demokrasia na utawala bora.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kufungia vyombo vya habari siyo utawala bora

Kauli iliyotolewa mwishoni mwa wiki na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia kwamba Serikali hivi karibuni itayachukulia hatua kali baadhi ya magazeti kwa madai kwamba yamekiuka maadili na kutishia usalama wa nchi, inathibitisha kwamba nchi yetu bado ina mwendo mrefu kabla ya kufikia ndoto yake ya kuwa nchi ya kidemokrasia na utawala bora.

 

11 years ago

Michuzi

Tume ya Haki za Binadamu na Utwala Bora yazindua taarifa ya ukaguzi wa vyombo vya dola dhidi ya watoto

Mgeni rasmi, Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju akitoa hotuba ya uzinduzi wa taarifa ya ukaguzi wa Magereza na sehemu walimozuiliwa watoto pamija na nyezo za ufuatiliaji wa hali na haki za watoto hao, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi za Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora zilizo mtaa wa Luthuli leo jijini Dar es salaam. Mgeni rasmi, Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju (wa pili kushoto) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa taarifa ya ukaguzi wa...

 

10 years ago

Michuzi

MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI PIA ATEMBELEA OFISI YA TUME ZA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ndugu George Masaju akisisitiza jambo mbele ya wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari. Mkutano wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Wahariri wa vyombo vya habari ulikuwa na lengo la kuwapa fursa pana wahariri kuuliza maswali mbalimbali kuhusu ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Absalom Kibanda(katikati) na Mhariri wa gazeti la Jamhuri Manyerere Jackton....

 

5 years ago

Michuzi

WADAU KUISHAWISHI SERIKALI KURIDHIA MKATABA WA DEMOKRASIA,UTAWALA BORA


Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha kupambana na vitendo vya ukatili wa Kijinsia (CAGBV), Sophia Komba, ambaye pia ni Mjumbe wa Bodi ya LHRC akiongea na Vyombo vya habari katika kikao hicho kilichowakutanisha wadau wa haki za binadamu ili kuupitia mkataba wa Afrika unaohusu demokrasia, uchaguzi , utawala bora na haki za binadamu kwa lengo la kuweka mikakati ya kushawishi serikali iweze kuuridhia. Mkutano huo ulifanyika Dodoma mapema leo.

Afisa Programu na Mratibu wa Ofisi Dodoma wa Kituo Sheria...

 

10 years ago

Dewji Blog

UNESCO yaahidi kuviendeleza vyombo vya habari jamii kukuza Demokrasia

DSC_0120

 Mwalikishi wa Shirika la Kimataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) ambaye pia ni mshauri na mkufunzi wa redio jamii, Bi. Rose Haji Mwalimu akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkazi wa UNESCO Tanzania, Zulmira Rodrigues kwenye sherehe za uzinduzi wa kituo hicho cha redio jamii Uvinza FM uliofanyika wilayani Uvinza mkoani Kigoma.

Kutoka kushoto ni Meneja wa huduma za kijamii wa Airtel Tanzania, Hawa Bayumi, Mkurugenzi Mtendaji wa Uvinza FM Radio Bi. Nuru Kalufya, Mgeni rasmi Mkuu wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Vyombo vya Dola vyamkana Mnyika

Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), limemwonya Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika kutolihusisha na siasa, huku likikana kuwanyang’anya kadi za kupigia kura maofisa wake ili kufanya hujuma katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

 

10 years ago

GPL

UNESCO YAAHIDI KUVIENDELEZA VYOMBO VYA HABARI JAMII KUKUZA DEMOKRASIA‏

Mwalikishi wa Shirika la Kimataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) ambaye pia ni mshauri na mkufunzi wa redio jamii, Bi. Rose Haji Mwalimu akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkazi wa UNESCO Tanzania, Zulmira Rodrigues kwenye sherehe za uzinduzi wa kituo hicho cha redio jamii Uvinza FM uliofanyika wilayani Uvinza mkoani Kigoma. Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Luteni Kanali Mstaafu Issa Machibya akifanyiwa mahojiano mafupi ndani...

 

10 years ago

Mwananchi

Lipumba: Vyombo vya dola vinashiriki ushirikina

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema baadhi ya watumishi wa vyombo vya dola wanashiriki au kuamini ushirikina na ndiyo maana wanaowafanyia ukatili watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) hawakamatwi.

 

10 years ago

Mtanzania

Simba yaita vyombo vya dola kuchunguza

Haji-Manara-SimbaNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa Klabu ya Simba umesema upo radhi vyombo vya dola vichunguze mkataba wao na mchezaji, Ramadhani Singano ‘Messi’, ili kuweza kubaini ukweli na kutatua utata unaoendelea kwa sasa.
Messi atakuwa mchezaji wa pili Simba mkataba wake kuchunguzwa na vyombo vya dola baada ya ule wa Athuman Idd ‘Chuji’ kudaiwa kufojiwa saini kama lilivyo sakata la Messi, kipindi anataka kuihama klabu hiyo mwaka 2008/2009.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Ofisa habari wa klabu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani