UNESCO yaahidi kuviendeleza vyombo vya habari jamii kukuza Demokrasia
Mwalikishi wa Shirika la Kimataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) ambaye pia ni mshauri na mkufunzi wa redio jamii, Bi. Rose Haji Mwalimu akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkazi wa UNESCO Tanzania, Zulmira Rodrigues kwenye sherehe za uzinduzi wa kituo hicho cha redio jamii Uvinza FM uliofanyika wilayani Uvinza mkoani Kigoma.
Kutoka kushoto ni Meneja wa huduma za kijamii wa Airtel Tanzania, Hawa Bayumi, Mkurugenzi Mtendaji wa Uvinza FM Radio Bi. Nuru Kalufya, Mgeni rasmi Mkuu wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_01201.jpg)
UNESCO YAAHIDI KUVIENDELEZA VYOMBO VYA HABARI JAMII KUKUZA DEMOKRASIA
11 years ago
Mwananchi28 May
Vyombo vya habari vyatakiwa kukuza utalii
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1jYxjGTfI4Q/U0TeQMS0j8I/AAAAAAAFZXc/iSfynIQj1SI/s72-c/Jamhuri+-+1.jpg)
VYOMBO VYA HABARI VYAASWA KUTOA KIPAUMBELE KWA HABARI ZINAZOJENGA JAMII
![](http://4.bp.blogspot.com/-1jYxjGTfI4Q/U0TeQMS0j8I/AAAAAAAFZXc/iSfynIQj1SI/s1600/Jamhuri+-+1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-rg1uE1fTLQI/VZD_UuFronI/AAAAAAAHlfI/w1eXi298Cvw/s72-c/1.jpg)
MKUTANO WA WAJIBU WA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KUKUZA UTALII WAFANYIKA LEO JIJINI MWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-rg1uE1fTLQI/VZD_UuFronI/AAAAAAAHlfI/w1eXi298Cvw/s640/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rg1uE1fTLQI/VZD_UuFronI/AAAAAAAHlfI/w1eXi298Cvw/s72-c/1.jpg)
TANAPA YAANDAA SEMINA YA WAJIBU WA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KUKUZA UTALII JIJINI MWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-rg1uE1fTLQI/VZD_UuFronI/AAAAAAAHlfI/w1eXi298Cvw/s640/1.jpg)
Katika ufunguzi wa Warsha hiyo,Ndugu Kijazi alisema kuwa, Kauli mbiu ya Mkutano wa mwaka...
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
10 years ago
Dewji Blog26 May
Wamiliki wa vyombo vya Habari nchini MOAT wapinga mswada wa sheria ya Vyombo vya Habari
Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Dk. Reginald Mengi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mswada wa sheria ya vyombo vya habari ambao ulitaka kuwasilishwa bungeni kwa dharula. Kulia ni Mwanasheria, Godfrey Mpandikizi.
10 years ago
Dewji Blog17 Feb
Uzalendo, Uadilifu na Maslahi ya Taifa: Wajibu wa Vyombo vya Habari Jamii
Mshehereshaji kwenye madhimisho ya siku ya redio duniani, Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza machache kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kufungua rasmi maadhimisho hayo Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Mwandishi wetu, Arusha
Vyombo vya habari hususan redio za jamii zimetakiwa kutanguliza uzalendo na kutetea maslahi ya taifa ili kuliepusha taifa katika migogoro na mitafaruku inayoweza kusababisha...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0219.jpg)
UZALENDO, UADILIFU NA MASLAHI YA TAIFA: WAJIBU WA VYOMBO VYA HABARI JAMII