Tume ya Haki za Binadamu na Utwala Bora yazindua taarifa ya ukaguzi wa vyombo vya dola dhidi ya watoto

Mgeni rasmi, Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju akitoa hotuba ya uzinduzi wa taarifa ya ukaguzi wa Magereza na sehemu walimozuiliwa watoto pamija na nyezo za ufuatiliaji wa hali na haki za watoto hao, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi za Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora zilizo mtaa wa Luthuli leo jijini Dar es salaam.
Mgeni rasmi, Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju (wa pili kushoto) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa taarifa ya ukaguzi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi.jpg)
MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI PIA ATEMBELEA OFISI YA TUME ZA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Vyombo vya dola kinara uvunjifu wa haki za binadamu-LHRC
10 years ago
Mzalendo Zanzibar27 Sep
Vyombo vya dola kinara uvunjifu wa haki za binadamu asilimia 66-LHRC
Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Dk Helen Kijo-Bisimba Sunday, September 27, 2015 Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema asilimia 60 ya uvunjifu wa haki za binadamu nchini unafanywa na vyombo vya dola huku asilimia […]
The post Vyombo vya dola kinara uvunjifu wa haki za binadamu asilimia 66-LHRC appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
Michuzi
TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA YAIPONGEZA SERIKALI DHIDI YA MAPAMBANO YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).

Itakumbukwa kuwa katikati ya mwezi Machi mwaka huu Serikali ilitangaza mapambano rasmi dhidi ya maradhi yanayosababishwa na virusi vya Corona ambavyo hivi karibuni imekuwa ni janga kubwa duniani.
Serikali ilichukua uamuzi huo baada ya Tanzania kuanza kupata taarifa za uwepo wa wagonjwa wa maradhi hayo nchini na hivyo kuwataka Wananchi kuchukua tahadhari mbalimbali za kujikinga na...
10 years ago
Michuzi
TUME ya haki za binadamu yatoa taarifa ya uchunguzi wa tuhuma dhidi ya Jeshi la Polisi za kuwapiga na kuwazalilisha Viongozi na Wafuasi wa CUF

10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Tamko kuhusu ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga akiongea na waandishi wa habari (hawako pichani) leo mchana makao makuu ya ofisi za Tume, mtaa wa Barack Obama jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mhe. Nyanduga akitoa tamko kuhusu ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar.
Ushauri wa THBUB kwa Tume ya Uchaguzi Zbar.doc
10 years ago
MichuziTUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA
10 years ago
Michuzi
JK AAGANA NA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA



10 years ago
MichuziTAMKO LA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA

TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORAKitalu Na. 8, Mtaa wa LuthuliS.L.P 2643, DAR ES SALAAMSimu: +255 22 2135747/8; 2137125; 2135222Faksi: +255 22 2111281Barua Pepe: chragg@chragg.go.tzTovuti: www.chragg.go.tz
Oktoba 23, 2015
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Tamko la Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kuhusu umuhimu wa kuzingatia sheria kwa ajili ya Uchaguzi Huru, wa Haki na Amani
TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imekuwa ikifuatilia kwa karibu matamshi...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10