Idara ya Uhamiaji yaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-xkD01DKzp4U/VQmAnaOP8zI/AAAAAAAHLSM/Tafk-bsZ7ps/s72-c/unnamed.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
IDARA ya Uhamiaji nchini,Imesema inaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini na kuwataka wananchi waendelee kutoa taarifa za wahamiaji haramu na hatua zinachukuliwa dhidi ya wahamiaji hao.
Hayo ameyasema,Naibu Kamishina wa Idara ya Uhamiaji na Msemaji wa Mkuu wa Idara hiyo,Abbas Irovya ,amesema idara ya uhamiaji inaendelea kupambana na wahamiaji haramu na kufanya uhamiaji haramu kupungua.
Irovya amesema kuwa kuna gazeti moja la wiki jina tunalihifadhi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi12 Feb
IDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Mbeya inawashikilia wahamiaji Haramu 62 ambao ni Wahabeshi raia wa Ehtiopia pamoja na Watanzania wawili wakituhumiwa kuingia nchini kinyume na utaratibu.
na Mbeya yetu.---------------------------- IDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Mbeya inawashikilia wahamiaji Haramu 62 ambao ni Wahabeshi raia wa Ehtiopia pamoja na Watanzania wawili wakituhumiwa kuingia nchini kinyume na utaratibu. Akizungumza na waandishi wa habari ofisinin kwake Afisa Uhamiaji Mkoa wa Mbeya, William Bambanganya...
11 years ago
GPLIDARA YA UHAMIAJI MBEYA INAWASHIKILIA WAHAMIAJI HARAMU 62 KUTOKA ETHIOPIA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--EsEBeArhDU/U_dhp9zoyfI/AAAAAAAGBc4/Hn4C9mANAOY/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
BREAKING NEWZZZZZ: idara ya uhamiaji yaendelea kucharuka, yamzuia raia wa netherlands kuingia nchini kwa kujihusisha na kusafrisha kimazabe raia wa kigeni
![](http://1.bp.blogspot.com/--EsEBeArhDU/U_dhp9zoyfI/AAAAAAAGBc4/Hn4C9mANAOY/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dHnPbYwDnEg/U_dhvcv-mxI/AAAAAAAGBdA/61pMNRyp4uo/s1600/scan0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dXE026mtggo/U_djUzEFIqI/AAAAAAAGBdU/I8j6UL4Z5JU/s1600/scan00002.jpg)
10 years ago
Michuzi20 Dec
10 years ago
VijimamboMaelezo ya Mwanasheria wa Uhamiaji kuhusu sheria mpya za uhamiaji nchini Marekani
Moja wapo lilikuwa ni maelezo ya mwanasheria wa uhamiaji Fatmata Barrie kuhusu maamuzi mapya ya serikali ya Marekani kwenye sheria za uhamiaji.
Karibu umsikilize
9 years ago
MichuziWAZIRI KITWANGA ATEMBELEA UHAMIAJI, ATANGAZA OPERESHENI YA KUKAMATA WAHAMIAJI HARAMU NCHINI
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Khsj_zSL8pQ/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6LwrgI5RgFg/XtbL_oCpXFI/AAAAAAALsXU/Lx6jEvk5qlolMFHZLB7zQDBACBxNAlw2gCLcBGAsYHQ/s72-c/u1.jpg)
IDARA YA UHAMIAJI YAKABIDHIWA NYUMBA ZA MAKAZI KWA MAOFISA NA ASKARI WA IDARA YA HIYO ENEO LA IYUMBU, JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6LwrgI5RgFg/XtbL_oCpXFI/AAAAAAALsXU/Lx6jEvk5qlolMFHZLB7zQDBACBxNAlw2gCLcBGAsYHQ/s1600/u1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-wciZdB6toUU/XtbMBvFmsGI/AAAAAAALsXk/dD86z5b3JsYN35-icqqnUNwPp2U3fDTmgCLcBGAsYHQ/s1600/u2.jpg)
9 years ago
BBCSwahili25 Aug
Uingereza na uhamiaji haramu