IDARA YA UHAMIAJI YAKABIDHIWA NYUMBA ZA MAKAZI KWA MAOFISA NA ASKARI WA IDARA YA HIYO ENEO LA IYUMBU, JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6LwrgI5RgFg/XtbL_oCpXFI/AAAAAAALsXU/Lx6jEvk5qlolMFHZLB7zQDBACBxNAlw2gCLcBGAsYHQ/s72-c/u1.jpg)
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Wa kwanza kushoto) akisalimiana na Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Wa pili kulia) baada ya kuwasili katika eneo la Iyumbu, ilipofanyika hafla ya makabidhiano ya Nyumba 103 za Makazi kwa Maofisa na Askari wa Idara ya Uhamiaji, Jijini Dodoma
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Wa kwanza kushoto) akipokea salamu kutoka kwa Kamishna Jenerali wa Idara ya Uhamiaji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vHy4YLOZJR0/Vm6aahiLptI/AAAAAAAIMRk/lOITpPLwUKk/s72-c/MMG_2917.jpg)
WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI AWAAGIZA WAKUU WA IDARA KUANDAA TAARIFA ZA IDARA ZAO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-vHy4YLOZJR0/Vm6aahiLptI/AAAAAAAIMRk/lOITpPLwUKk/s640/MMG_2917.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PeMavfyeBsY/Vm6aRt_5nmI/AAAAAAAIMRY/8aipDHh_aiI/s640/MMG_2894.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IM1EgQqdeL0/XtaVQJXZglI/AAAAAAALsW0/UFsjlDclb7Q-BK954G2i9SkkWbN2vjO_ACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_1982-768x500.jpg)
WAZIRI MKUU AKABIDHI NYUMBA 103 KWA IDARA YA UHAMIAJI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameikabidhi Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi nyumba 103 zenye gharama ya zaidi ya sh. bilioni tano kwa ajili ya makazi ya Maafisa na Askari wa Idara ya Uhamiaji nchini zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) katika eneo la Iyumbu jijini Dodoma ikiwa ni utekelezaji wa uamuzi ulitolewa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli.
Baada ya kukabidhi nyumba hizo, Waziri Mkuu amesema kwamba makazi hayo yawe chachu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Db_fPTRfi30/VEoRJhGMeTI/AAAAAAAGtF8/1NNFi8NaKHE/s72-c/unnamedq.jpg)
Wajumbe wa idara ya utumishi ya uwalimu watembelea nyumba za PSPF zilizopo eneo la Lukobe mjini Morogoro
![](http://4.bp.blogspot.com/-Db_fPTRfi30/VEoRJhGMeTI/AAAAAAAGtF8/1NNFi8NaKHE/s1600/unnamedq.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IxdbdeaNnWU/VEoRKEcX0wI/AAAAAAAGtGI/MksgbGcNKUU/s1600/unnamedq1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GpgKItjhU08/VEoImrQOAHI/AAAAAAACtb4/9eHDiM5Mx1Q/s72-c/Lukobe%2Bpspf%2Bplots2.jpg)
Wajumbe wa idara ya utumishi wa walimu watembelea nyumba za PSPF zilizopo eneo la Lukobe mjini Morogoro.
![](http://1.bp.blogspot.com/-GpgKItjhU08/VEoImrQOAHI/AAAAAAACtb4/9eHDiM5Mx1Q/s1600/Lukobe%2Bpspf%2Bplots2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zJSTlm8KUZ0/VEoIjEJHO9I/AAAAAAACtbo/dIm6IJKyerM/s1600/Lukobe%2Bpspf%2Bplots3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xkD01DKzp4U/VQmAnaOP8zI/AAAAAAAHLSM/Tafk-bsZ7ps/s72-c/unnamed.jpg)
Idara ya Uhamiaji yaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini
IDARA ya Uhamiaji nchini,Imesema inaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini na kuwataka wananchi waendelee kutoa taarifa za wahamiaji haramu na hatua zinachukuliwa dhidi ya wahamiaji hao.
Hayo ameyasema,Naibu Kamishina wa Idara ya Uhamiaji na Msemaji wa Mkuu wa Idara hiyo,Abbas Irovya ,amesema idara ya uhamiaji inaendelea kupambana na wahamiaji haramu na kufanya uhamiaji haramu kupungua.
Irovya amesema kuwa kuna gazeti moja la wiki jina tunalihifadhi...
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
HAPA KAZI TU: Naibu Katibu Mkuu Mambo ya ndani ya Nchi atembelea makao makuu ya Idara ya uhamiaji Kurasini jijini Dar es Salaam!
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo (kushoto), akisalimiana na Kamishna wa Uhamiaji (Utawala na Fedha), Piniel Mgonja , wakati wa ziara ya kikazi Makao Makuu ya Uhamiaji,Kurasini jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kushoto ni Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Sylvester Ambokile.
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Sylvester Ambokile (kushoto), akimuonesha Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo, baadhi ya Ofisi za Idara ya Uhamiaji,...
10 years ago
Michuzi17 Dec
IDARA YA UHAMIAJI MKOA WA NJOMBE YATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA WILAYANI MAKETE
Akizungumza wakati akikabidhi msaada wao afisa uhamiaji mkoa wa Njombe Rose Mhagama alisema wameguswa na suala hilo na kuamua kuvisaidia vituo vya watoto yatima Makete vitu mbalimbali, na kuwaomba wadau wengine kujitokeza kuwasaidia watoto hao
Kwa upande wake Mkuu wa wilaya Hiyo Bi...
11 years ago
Bongo530 Jul
Zitto Kabwe apongeza nguvu ya mitandao ya kijamii kwa kusababisha kusitishwa kwa ajira katika idara ya uhamiaji
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mE_OU0Zx7Nc/Vnk580hlq2I/AAAAAAADEDc/HO-QXWm3EJU/s72-c/New%2BPicture%2B%25284%2529.png)
TASAF YATOA VYETI KWA WAFANYAKAZI WAKE BORA WA IDARA ZA TAASISI HIYO KWA MWAKA 2015.
![](http://4.bp.blogspot.com/-mE_OU0Zx7Nc/Vnk580hlq2I/AAAAAAADEDc/HO-QXWm3EJU/s640/New%2BPicture%2B%25284%2529.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-o3ZU2zcyoZw/Vnk59pX1dKI/AAAAAAADEDk/KWAvlbECreg/s640/New%2BPicture%2B%25285%2529.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XMMMmwc7rZM/Vnk5-WXrjGI/AAAAAAADEDs/xLBLCEJgX6s/s640/New%2BPicture%2B%25286%2529.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7YltzaJCABE/Vnk5_DAgl3I/AAAAAAADED0/4kbPtENNmlo/s640/New%2BPicture.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5cM1HpqKa7E/Vnk6xiyXnII/AAAAAAADEEA/JJTXeX0SYdI/s640/New%2BPicture%2B%25287%2529.png)
Wataalamu waelekezi wakiwa katika picha ya pamoja na Menejimenti ya TASAF.
PICHAZ AIDI BOFYA HAPA