Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cameron ataka Uingereza kushambulia IS

Waziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, amedhihirisha zaidi, kwamba anataka wanajeshi wa Uingereza wawashambulie wapiganaji wa Islamic State nchini Syria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Uingereza: Cameron na Conservatives waongoza

Chama cha Conservatives cha waziri mkuu wa Uingereza David Cameron anaelekea kusajili ushindi mkubwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika jana.

 

10 years ago

GPL

DAVID CAMERON AELEKEA KUSHINDA UCHAGUZI MKUU UINGEREZA

Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron anayewania kiti hicho. WAZIRI Mkuu wa Uingereza, David Cameron, anaelekea kupata ushindi mkubwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika jana nchini humo. Wafuasi wa David Cameron wakimlaki. Matokeo ya awali mpaka sasa yanaonesha chama chake cha Conservative kimejiongezea hadi sasa jumla ya viti 20 na kupata ushindi katika majimbo 279 ambapo chama kikuu cha upinzani cha Labour kimepata jumla ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Phil Neville aikataa Uingereza, ataka kufundisha Hispania

phil-neville-valencia_3383469

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha msaidizi wa Valencia ya Hispania, Phil Neville (pichani) amesema hana mpango wa kurudi Uingereza kufundisha soka na anapenda kusalia kufundisha soka Hispania ambapo anaamini ni sehemu sahihi kwake kufundisha.

Neville ambaye aliwahi kuchezea Manchester United na Everton zote za Uingereza na baadae kuwa kocha msaidizi wa Manchester United kwa miezi 10 baada ya kocha mkuu, David Moyes kutimuliwa kazi, alikiambia kituo cha michezo cha Skysport kuwa inawezekana...

 

9 years ago

BBCSwahili

Cameron azuru Lebanon

Waziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, anazuru Lebanon ili kujionea mwenyewe namna msaada kutoka Uingereza unavyotumika huko

 

10 years ago

BBCSwahili

Cameron: ni sawa magazeti kukera

Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron atafautiana na maneno ya Papa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uhamiaji:Cameron kuishawishi Ujerumani

Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron amezungumzo na kansela wa Ujerumani Angela Merkel, kuhusiana na mageuzi katika jumuia ya muungano wa bara ulaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Cameron afanya ziara ya 2 Scotland

Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron anafanya ziara ya pili Scotland kuwashawishi kutojitenga

 

10 years ago

BBCSwahili

Cameron asema IS ni tishio kubwa

Waziri mkuu nchini Uingereza David Cameron amesema kuwa wapiganaji wa islamic state ni tishio kubwa mataifa ya magharibi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Cameron atakiwa asiwadhalilishe wahamiaji

Waziri mkuu wa Uingereza ameibua utata, kwa kuwaita wahamiaji haramu wanaojaribu kuvuka mpaka na kuingia Uingereza kama ''bumba la nyuki''.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani