Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Phil Neville aikataa Uingereza, ataka kufundisha Hispania

phil-neville-valencia_3383469

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha msaidizi wa Valencia ya Hispania, Phil Neville (pichani) amesema hana mpango wa kurudi Uingereza kufundisha soka na anapenda kusalia kufundisha soka Hispania ambapo anaamini ni sehemu sahihi kwake kufundisha.

Neville ambaye aliwahi kuchezea Manchester United na Everton zote za Uingereza na baadae kuwa kocha msaidizi wa Manchester United kwa miezi 10 baada ya kocha mkuu, David Moyes kutimuliwa kazi, alikiambia kituo cha michezo cha Skysport kuwa inawezekana...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Gary Neville ateuliwa kuwa kocha mpya wa Valencia ataungana na ndugu yake Phil Neville

2EFCC2A800000578-3343348-image-a-29_1449088463103

Beki wa zamani wa kulia wa Manchester United na Uingereza Gary Neville ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Valencia hadi mwisho wa msimu.

2EFCC2A800000578-3343348-image-a-29_1449088463103

Neville, 40, ataanza rasmi majukumu yake kamili Jumapili, na atasalia kwenye benchi la wakufunzi la Uingereza. Peter Lim, mmiliki wa Valencia anayetoka Singapore, ana hisa katika klabu ya Salford City, ambayo Neville ni mmiliki mwenza.

2EFCDFB900000578-3343348-image-a-28_1449088453935

Kaka yake Neville, Phil, aliyejiunga na klabu hiyo ya Uhispania kama meneja msaidizi Julai atasalia kwenye benchi la...

 

9 years ago

Dewji Blog

Nahitaji changamoto mpya, nataka kufundisha Uingereza – Guardiola

Pep-Guardiola-Bayern-Muni-014

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha wa Bayern Munich, Pep Guardiola (pichani) amesema anataka kupata changamoto mpya katika maisha yake ya soka na anataka kwenda kufundisha Uingereza baada ya kugoma kuongeza mkataba Bayern Munich na nafasi yake kuchukuliwa na Carlo Ancelotti.

Vilabu vya Manchester United, Mancheter City na Chelsea vyote vya Uingereza tayari vinaonekana kumuhitaji kocha huyo wa zamani wa Barcelona ambaye anaonekana kupata mafanikio kwa klabu zote ambazo amekuwa akizifundisha...

 

10 years ago

Africanjam.Com

IFAHAMU 'HOTEL FOOTBALL' INAYOMILIKIWA NA G.NEVILLE, GIGGS, SCHOLES, P.NEVILLE NA BUTT

Hotel hiyo ambayo inaitwa Hotel Football na ipo karibu kabisa karibu na uwanja wa Old Trafford.Hotel hiyo ambayo ni wazo la kwanza kabisa la Neville na Ryan Giggs lakini baadae wakaja wamiliki wapya kama Phil Neville, Nicky Butt na Paul Scholes, kuanzia nje hadi ndani imekua branded ki-football zaidi.Kuwa na uhusiano wa ki-football unaipa advantage ya kuwa sehemu busy sana siku za mechi au hata sio siku za mechi. Ukiingia ndani kuna picha za malegend wa soka na pia juu kabisa kuna uwanja wa...

 

9 years ago

MillardAyo

Anza weekend yako ya mwaka mpya kwa mechi 21 kali za kuvutia, kwa Tanzania, Uingereza na Hispania Jan 2 na 3…

Ligi Kuu soka Tanzania bara imesimama kwa muda kupisha michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoanza January 3 2016 Zanzibar, lakini hiyo haimaanishi mtu wangu hakuna mechi kali za soka weekend ya January 2 na January. Najua bado unasherehekea mwaka mpya lakini, hizi ndio mechi 21 sio za kukosa siku ya Jumamosi ya January 2 na […]

The post Anza weekend yako ya mwaka mpya kwa mechi 21 kali za kuvutia, kwa Tanzania, Uingereza na Hispania Jan 2 na 3… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Anza weekend yako ya mwaka mpya kwa kutazama mechi 21 kali za kuvutia, kwa Tanzania, Uingereza na Hispania

Ligi Kuu soka Tanzania bara imesimama kwa muda kupisha michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoanza January 3 2016 Zanzibar, lakini hiyo haimaanishi mtu wangu hakuna mechi kali za soka weekend ya January 2 na January 3. Najua bado unasherehekea mwaka mpya lakini, hizi ndio mechi 21 sio za kukosa siku ya Jumamosi ya January 2 […]

The post Anza weekend yako ya mwaka mpya kwa kutazama mechi 21 kali za kuvutia, kwa Tanzania, Uingereza na Hispania appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Cameron ataka Uingereza kushambulia IS

Waziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, amedhihirisha zaidi, kwamba anataka wanajeshi wa Uingereza wawashambulie wapiganaji wa Islamic State nchini Syria.

 

10 years ago

GPL

Mwashuiya aikataa jezi Yanga

Kiungo mahiri anayekuja kwa kwa kasi ndani ya Yanga, Geofrey Mwashiuya. Said Ally na Saphyna Mlawa
KIUNGO mahiri anayekuja kwa kwa kasi ndani ya Yanga, Geofrey Mwashiuya amechukua maamuzi magumu magumu ndani ya klabu hiyo kwa kuikataa jezi namba 19 aliyopewa na uongozi wa klabu hiyo kwa ajili ya kuitumia katika msimu ujao. Kiungo huyo ambaye jana alipewa mkataba wa miaka mitatu na timu hiyo alisema hataki kuvaa jezi hiyo bali...

 

11 years ago

GPL

Bobby Williamson aikataa Yanga rasmi

Kocha Mkuu wa Gor Mahia, Bobby Williamson. Na Sweetbert Lukonge
KOCHA Mkuu wa Gor Mahia, Bobby Williamson, amesema hataondoka katika klabu hiyo, hivyo Yanga wamsamehe.
Williamson amesema hana mpango wa kuja nchini kuifundisha Yanga kwa kuwa anaamini Gor Mahia kwa sasa ni sehemu sahihi kwake. Akizungumza jana na gazeti hili, Williamson alisema amepata taarifa za Yanga kumfuatilia, lakini amekuwa akiwaeleza ukweli....

 

11 years ago

Mwananchi

Kandoro aikataa taarifa ya fedha Mbozi

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro aikataa taarifa ya matumizi ya fedha zaidi ya Sh174 milioni za miradi miwili ya bwawa la maji katika Kijiji cha Iyula na Msia wilayani hapa na kutoa wiki moja kwa halmashauri ya wilaya kutoa maelezo sahihi ya miradi hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani