Kandoro aikataa taarifa ya fedha Mbozi
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro aikataa taarifa ya matumizi ya fedha zaidi ya Sh174 milioni za miradi miwili ya bwawa la maji katika Kijiji cha Iyula na Msia wilayani hapa na kutoa wiki moja kwa halmashauri ya wilaya kutoa maelezo sahihi ya miradi hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Mar
KUELEKEA MAJIMBONI 2015 : CCM ijihadhari majimbo ya Mbarali, Mbozi Magharibi na Mbozi Mashariki
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXWBnXhu1xq6Ov7xOBb*9RWrBEYGfaF0w7Caoq2ns8DgOE2MsuwuFVAFu16BkhOjzzXUcATNuctGtzFvcZFFywSo/slaa4.jpg?width=650)
DK. SLAA AVISHWA VAZI LA KICHIFU, APEWA JINA LA 'MWENE WA MBOZI' HUKO MBOZI MKOANI MBEYA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DRt5qSnWStWX2x7sxWpVBngBodos*q8hSwM0CVqcBDjpJZkCv-K0C7BSbdqK0guvcAtCqXodJXYbZ8IhzSbGfwd/jjj.gif?width=650)
Mwashuiya aikataa jezi Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R9XIwqbdD-897F74NRc*4VsHLDDSMUla96YbfVgD9qMRu6YgJFx3MS0DZSR-J5-utStEO-GwpfrGNAnN*13tpNIlryIxpuH5/BOBBY.jpg?width=650)
Bobby Williamson aikataa Yanga rasmi
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Raphael Kiongera aikataa jezi ya Mosoti Simba
9 years ago
BBCSwahili30 Dec
Facebook yashtakiwa kwa kuhodhi taarifa za fedha
9 years ago
Dewji Blog04 Jan
Phil Neville aikataa Uingereza, ataka kufundisha Hispania
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Kocha msaidizi wa Valencia ya Hispania, Phil Neville (pichani) amesema hana mpango wa kurudi Uingereza kufundisha soka na anapenda kusalia kufundisha soka Hispania ambapo anaamini ni sehemu sahihi kwake kufundisha.
Neville ambaye aliwahi kuchezea Manchester United na Everton zote za Uingereza na baadae kuwa kocha msaidizi wa Manchester United kwa miezi 10 baada ya kocha mkuu, David Moyes kutimuliwa kazi, alikiambia kituo cha michezo cha Skysport kuwa inawezekana...