Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bobby Williamson aikataa Yanga rasmi

Kocha Mkuu wa Gor Mahia, Bobby Williamson. Na Sweetbert Lukonge
KOCHA Mkuu wa Gor Mahia, Bobby Williamson, amesema hataondoka katika klabu hiyo, hivyo Yanga wamsamehe.
Williamson amesema hana mpango wa kuja nchini kuifundisha Yanga kwa kuwa anaamini Gor Mahia kwa sasa ni sehemu sahihi kwake. Akizungumza jana na gazeti hili, Williamson alisema amepata taarifa za Yanga kumfuatilia, lakini amekuwa akiwaeleza ukweli....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Bobby Williamson ni kocha wa Kenya

Kocha wa Gor Mahia Bobby Williamson amechaguliwa kuwa kocha wa Harambee Stars ya Kenya.

 

10 years ago

GPL

Mwashuiya aikataa jezi Yanga

Kiungo mahiri anayekuja kwa kwa kasi ndani ya Yanga, Geofrey Mwashiuya. Said Ally na Saphyna Mlawa
KIUNGO mahiri anayekuja kwa kwa kasi ndani ya Yanga, Geofrey Mwashiuya amechukua maamuzi magumu magumu ndani ya klabu hiyo kwa kuikataa jezi namba 19 aliyopewa na uongozi wa klabu hiyo kwa ajili ya kuitumia katika msimu ujao. Kiungo huyo ambaye jana alipewa mkataba wa miaka mitatu na timu hiyo alisema hataki kuvaa jezi hiyo bali...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yamng’ang’ania Bob Williamson

>Wakati mabingwa wa soka nchini, Yanga  wakimng’ang’ania kocha mkuu wa Gor Mahia ya Kenya,  Bob Williamson kurithi mikoba ya aliyekuwa kocha wao  mkuu, Ernie Brandts, timu hiyo mpaka sasa haijalipwa  fedha zake zilizotokana na ushindi wa mashabiki wake katika  mechi ya Nani Mtani Jembe Sh98, 938,400.

 

11 years ago

Mwananchi

Kandoro aikataa taarifa ya fedha Mbozi

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro aikataa taarifa ya matumizi ya fedha zaidi ya Sh174 milioni za miradi miwili ya bwawa la maji katika Kijiji cha Iyula na Msia wilayani hapa na kutoa wiki moja kwa halmashauri ya wilaya kutoa maelezo sahihi ya miradi hiyo.

 

10 years ago

BBC

Williamson waits for Kenya confirmation

Bobby Williamson yet to sign a contract to coach Kenya as his Gor Mahia side suffer shock Cecafa exit alongside holders Vital’O.

 

11 years ago

BBC

Williamson appointed Kenya coach

Former Uganda coach Bobby Williamson is named new Kenya coach following the departure of Adel Amrouche.

 

10 years ago

BBC

Williamson signs on to coach Kenya

Bobby Williamson is officially appointed Kenya coach after finally signing a contract with the country's football federation.

 

10 years ago

Mwananchi

Raphael Kiongera aikataa jezi ya Mosoti Simba

Mshambuliaji wa Simba, Raphael Kiongera amegoma kupokea jezi namba 5 kwa madai kuwa hawezi kuivaa badala ya Donald Mosoti na kutaka atafutiwe namba nyingine.

 

9 years ago

Dewji Blog

Phil Neville aikataa Uingereza, ataka kufundisha Hispania

phil-neville-valencia_3383469

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha msaidizi wa Valencia ya Hispania, Phil Neville (pichani) amesema hana mpango wa kurudi Uingereza kufundisha soka na anapenda kusalia kufundisha soka Hispania ambapo anaamini ni sehemu sahihi kwake kufundisha.

Neville ambaye aliwahi kuchezea Manchester United na Everton zote za Uingereza na baadae kuwa kocha msaidizi wa Manchester United kwa miezi 10 baada ya kocha mkuu, David Moyes kutimuliwa kazi, alikiambia kituo cha michezo cha Skysport kuwa inawezekana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani