Yanga yamng’ang’ania Bob Williamson
>Wakati mabingwa wa soka nchini, Yanga wakimng’ang’ania kocha mkuu wa Gor Mahia ya Kenya, Bob Williamson kurithi mikoba ya aliyekuwa kocha wao mkuu, Ernie Brandts, timu hiyo mpaka sasa haijalipwa fedha zake zilizotokana na ushindi wa mashabiki wake katika mechi ya Nani Mtani Jembe Sh98, 938,400.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi01 Oct
Azam FC bado yamng’ang’ania Nyosso
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Liverpool yamng'ang'ania Raheem Sterling
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Serikali ya Mapinduzi yamng’ang’ania Raza
10 years ago
Mwananchi04 May
Chadema yamng’ang’ania JK kuhusu Uchaguzi Mkuu
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Mbunge CCM ang’ang’ania mil. 100/-
MBUNGE wa Viti Maalumu, Devotha Likokola, (CCM) anadaiwa kung’ang’ania sh milioni 100 zilizoingizwa katika akaunti yake kwa ajili ya kuwasaidia walemavu. Fedha hizo zilitolewa na Mwenyekiti wa Kampuni za IPP,...
9 years ago
Habarileo20 Dec
Muhongo ang'ang'ania bei ya umeme ishuke
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter M u h o n g o , ameendelea kung’ang’ania bei ya umeme ishuke, ambapo jana ameagiza taasisi zilizo chini ya wizara hiyo, ifikapo Januari mwakani wawe wamempelekea mapendekezo ya kushuka kwa bei ya nishati hiyo.
11 years ago
Habarileo04 May
Lipumba ang’ang’ania hoja ya Ukawa
PAMOJA na mwito wa Rais Jakaya Kikwete, wasomi na wanasiasa wakongwe na mashuhuri nchini, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba ameweka bayana kuwa chama chake na washirika wengine wanaounda kinachoitwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), hawatorejea kwenye Bunge Maalum la Katiba.
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Meya Bukoba ang’ang’ania kiti
LICHA ya kutangaza kujiuzulu kwa agizo la serikali baada ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Uttouh, kumtia hatiani aliyekuwa Meya wa Manispaa ya...
11 years ago
GPL
JACK DUSTAN ANG’ANG’ANIA KUZAA NA MZUNGU