Lipumba ang’ang’ania hoja ya Ukawa
PAMOJA na mwito wa Rais Jakaya Kikwete, wasomi na wanasiasa wakongwe na mashuhuri nchini, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba ameweka bayana kuwa chama chake na washirika wengine wanaounda kinachoitwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), hawatorejea kwenye Bunge Maalum la Katiba.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo20 Dec
Muhongo ang'ang'ania bei ya umeme ishuke
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter M u h o n g o , ameendelea kung’ang’ania bei ya umeme ishuke, ambapo jana ameagiza taasisi zilizo chini ya wizara hiyo, ifikapo Januari mwakani wawe wamempelekea mapendekezo ya kushuka kwa bei ya nishati hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Mbunge CCM ang’ang’ania mil. 100/-
MBUNGE wa Viti Maalumu, Devotha Likokola, (CCM) anadaiwa kung’ang’ania sh milioni 100 zilizoingizwa katika akaunti yake kwa ajili ya kuwasaidia walemavu. Fedha hizo zilitolewa na Mwenyekiti wa Kampuni za IPP,...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Meya Bukoba ang’ang’ania kiti
LICHA ya kutangaza kujiuzulu kwa agizo la serikali baada ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Uttouh, kumtia hatiani aliyekuwa Meya wa Manispaa ya...
9 years ago
Habarileo27 Aug
Ukawa yang’ang’ania Jangwani
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umesema utafanya mkutano wake wa ufunguzi wa kampeni za urais katika Viwanja vya Jangwani Dar es Salaam licha ya kuambiwa uwanja huo tayari ulikuwa umelipiwa.
11 years ago
Tanzania Daima25 May
UKAWA wamng’ang’ania Kikwete
WANANCHI wa Wilaya ya Tunduma, Mkoa wa Mbeya, wamewataka viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kutorudi kwenye vikao vya Bunge Maalumu la Katiba hadi muafaka wa serikali tatu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XK5BrsN2RVdk1cUsf5956ElOHcnSD4bAl*aQmqdTrormmsjMsnNTsCTSePWke3aB-flw7rmZpN72gwGJv*15oIxZxHpcLhOL/JACK.jpg?width=650)
JACK DUSTAN ANG’ANG’ANIA KUZAA NA MZUNGU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf29sgafvrguT1m4iNwYkUy6hCpbY4IIp2SJKprYMvqz1X8O3qdIPy-BdI-FpfzSb5*cpusF7tEF0mtU9vV8xr7f/DrAnatoryAmani.jpg?width=600)
MEYA BUKOBA ANG’ANG’ANIA KITI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O3p1FaWf5AdU3UjUB32oqoupJqx7icXYwaG4rdvtkvmdf2FqG2P7sG-oxh8k1s*dZDETJiUix4m-sxHYHxKQnq0b9PBq6p-S/sd.jpg?width=650)
SNURA ANG’ANG’ANIA KUISHI BAA
11 years ago
Mwananchi24 Jun
Sumatra yaing’ang’ania Uda