Serikali ya Mapinduzi yamng’ang’ania Raza
>Waziri wa Fedha wa Zanzibar, Omar Yussuf Mzee amesema kazi ya kupitia madeni ya kodi ya gawio la Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) anayodaiwa Mfanyabiasha Mohamed Raza kwa muda wa miaka 16 itachukua miezi mitatu ili kubaini kiwango halisi anachodaiwa kupitia Kampuni ya Huduma katika Viwanja vya Ndege (ZAT).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Azam FC bado yamng’ang’ania Nyosso
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Yanga yamng’ang’ania Bob Williamson
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Liverpool yamng'ang'ania Raheem Sterling
10 years ago
Mwananchi04 May
Chadema yamng’ang’ania JK kuhusu Uchaguzi Mkuu
11 years ago
Mwananchi01 Feb
KNCU yazidi kuing’ang’ania Serikali
11 years ago
Habarileo09 Apr
Wenyeviti CCM wang'ang'ania Serikali mbili
WENYEVITI wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar wamesisitiza muundo wa Serikali mbili ndiyo utakaodumisha Muungano kuwa imara zaidi. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja, Haji Juma Haji kwa niaba ya wenzao, wakati walipozungumza na waandishi wa habari hapo wakielezea mchakato wa Bunge maalumu la katiba.
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Siri ya CCM kung’ang’ania Serikali mbili kikatiba
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Msekwa atoboa siri ya CCM kung’ang’ania serikali mbili
9 years ago
Habarileo20 Dec
Muhongo ang'ang'ania bei ya umeme ishuke
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter M u h o n g o , ameendelea kung’ang’ania bei ya umeme ishuke, ambapo jana ameagiza taasisi zilizo chini ya wizara hiyo, ifikapo Januari mwakani wawe wamempelekea mapendekezo ya kushuka kwa bei ya nishati hiyo.