Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bobby Williamson ni kocha wa Kenya

Kocha wa Gor Mahia Bobby Williamson amechaguliwa kuwa kocha wa Harambee Stars ya Kenya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Bobby Williamson aikataa Yanga rasmi

Kocha Mkuu wa Gor Mahia, Bobby Williamson. Na Sweetbert Lukonge
KOCHA Mkuu wa Gor Mahia, Bobby Williamson, amesema hataondoka katika klabu hiyo, hivyo Yanga wamsamehe.
Williamson amesema hana mpango wa kuja nchini kuifundisha Yanga kwa kuwa anaamini Gor Mahia kwa sasa ni sehemu sahihi kwake. Akizungumza jana na gazeti hili, Williamson alisema amepata taarifa za Yanga kumfuatilia, lakini amekuwa akiwaeleza ukweli....

 

10 years ago

BBC

Williamson signs on to coach Kenya

Bobby Williamson is officially appointed Kenya coach after finally signing a contract with the country's football federation.

 

10 years ago

BBC

Williamson waits for Kenya confirmation

Bobby Williamson yet to sign a contract to coach Kenya as his Gor Mahia side suffer shock Cecafa exit alongside holders Vital’O.

 

11 years ago

BBC

Williamson appointed Kenya coach

Former Uganda coach Bobby Williamson is named new Kenya coach following the departure of Adel Amrouche.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kocha wa Kenya aadhibiwa na CAF

Adel Amrouche amefungiwa mechi kwa mwaka 1 kwa madai ya kumtemea mate afisa wa soka

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yamng’ang’ania Bob Williamson

>Wakati mabingwa wa soka nchini, Yanga  wakimng’ang’ania kocha mkuu wa Gor Mahia ya Kenya,  Bob Williamson kurithi mikoba ya aliyekuwa kocha wao  mkuu, Ernie Brandts, timu hiyo mpaka sasa haijalipwa  fedha zake zilizotokana na ushindi wa mashabiki wake katika  mechi ya Nani Mtani Jembe Sh98, 938,400.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Bobby’ anukia Taifa Stars

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) linafanya mpango ili kocha wa klabu ya Gor Mahia ya Kenya, Robert ‘Bobby’ Williamson raia wa Scotland, achukue jukumu la kuinoa Taifa Stars.

 

10 years ago

Mwananchi

Bobby Kristina, Whitney yaleyale

“Maji hufuata mkondo,” walisema Waswahili. Ndivyo unavyoweza kumwelezea Bobby Kristina, mtoto wa aliyekuwa nguli wa miondoko ya muziki wa Pop Whitney Huston aliyepoteza maisha kutokana na matumizi ya dawa za kulevya.

 

10 years ago

Mtanzania

Bobby Brown achoshwa na hali ya Kristina

bobby-brown-bobbi-kristinaNA BADI MCHOMOLO
BAADA ya Kristina Brown kukaa hospitali kwa muda wa siku 73 tangu aanguke bafuni Januari 31 mwaka huu, baba yake, Bobby Brown, ameonekana kukata tamaa ya kupona kwa binti yake huyo.
Kristina bado anaishi kwa kutegemea nguvu ya mashine, lakini hata hivyo hali yake haileti matumaini tangu alipopelekwa hospitalini.
“Mpaka sasa hatujui nini kitatokea kwa mtoto wetu, tumemkabidhi Mungu kila kitu kwa kuwa yeye ndiye mwenye maamuzi ya mwisho katika kila jambo.”
Mbali na Bobby Brown...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani