Kocha wa Kenya aadhibiwa na CAF
Adel Amrouche amefungiwa mechi kwa mwaka 1 kwa madai ya kumtemea mate afisa wa soka
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Kocha apigwa marufuku na Caf kwa kutusi refa
Kocha wa Guinea-Bissau Paulo Torres amepigwa marufuku kwa mechi zilizosalia zaza Kombe la Taifa Bingwa Afrika 2017 kwa kumtusi refa.
11 years ago
BBCSwahili01 Aug
Kenya yakata rufaa ya marufuku ya CAF
Kenya imekata rufaa ya marufuku ya mwaka 1ya kocha Adel Amrouche na shirikisho la soka barani Afrika CAF.
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Bobby Williamson ni kocha wa Kenya
Kocha wa Gor Mahia Bobby Williamson amechaguliwa kuwa kocha wa Harambee Stars ya Kenya.
11 years ago
Michuzi24 Feb
Malinzi Ajitambulisha Rasmi Kwa Rais wa CAF, Issa Hayatou Jijini Cairo,Misri Akisindikizwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya CAF Leodegar Tenga
Rais wa TFF, Jamal Malinzi (kushoto) akimkabidhi zawadi Rais wa CAF, Issa Hayatou Makao Makuu ya CAF jijini Cairo, Misri.
Rais wa TFF, Jamal Malinzi (kushoto) akiwa na Rais wa CAF, Issa Hayatou na mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya CAF, Leodegar Tenga Makao Makuu ya CAF jijini Cairo, Misri.
---
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limemwahidi ushirikiano Rais waShirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi.
Ahadi hiyo imetolewa juzi (Februari 21 mwaka huu) makao makuu ya...
10 years ago
BBCSwahili05 Sep
Aliyempiga kichwa mwamuzi aadhibiwa
Mchezaji wa timu ya SK Rum ya nchini Austria amefungiwa kutocheza mechi 70kama adhabu kwa kumpiga kichwa mwamuzi
10 years ago
Vijimambo01 Oct
Aadhibiwa kwa kusujudu uwanjani
Mchezaji wa Kansas City Chiefs Husain Abdullah aliadhibiwa vikali na refarii baada ya kupiga sijida baada ya kufunga bao katika mchezo wa football ya Marekani Kansas walipoinyuka New England Patriots 41-14.
Refarii alimwadhibu papo hapo Abdullah alipoinuka baada ya kusheherekea kwa kupiga sijida.
Aliyekuwa refarii wa zamani wa NFL Mike Pereira alisema kuwa sio hatia mtu kupiga sijida.
Tukio hilo linawadia wakati ambapo ligi hiyo inapigwa msasa kufuatia utovu wa nidhamu mbali na tuhuma chungu...
Refarii alimwadhibu papo hapo Abdullah alipoinuka baada ya kusheherekea kwa kupiga sijida.
Aliyekuwa refarii wa zamani wa NFL Mike Pereira alisema kuwa sio hatia mtu kupiga sijida.
Tukio hilo linawadia wakati ambapo ligi hiyo inapigwa msasa kufuatia utovu wa nidhamu mbali na tuhuma chungu...
10 years ago
BBCSwahili11 Feb
George Michael wa Ruvu aadhibiwa
Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemfungia mechi tatu,beki George Michael Osei wa Ruvu Shooting .
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Mchezaji aliyemtongoza mwanahabari aadhibiwa
Nahodha wa zamani wa timu ya kriketi ya West Indies, Chris Gayle amepigwa faini baada yake kumtongoza mwanahabari wakati wa mahojiano ya moja kwa moja.
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Poyet aadhibiwa kwa kuzua purukushani
Kocha wa Sunderland Gus Poyet ameadhibiwa kwa kumshambulia mwenzake wa Hull City
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania