Aadhibiwa kwa kusujudu uwanjani
Mchezaji wa Kansas City Chiefs Husain Abdullah aliadhibiwa vikali na refarii baada ya kupiga sijida baada ya kufunga bao katika mchezo wa football ya Marekani Kansas walipoinyuka New England Patriots 41-14.
Refarii alimwadhibu papo hapo Abdullah alipoinuka baada ya kusheherekea kwa kupiga sijida.
Aliyekuwa refarii wa zamani wa NFL Mike Pereira alisema kuwa sio hatia mtu kupiga sijida.
Tukio hilo linawadia wakati ambapo ligi hiyo inapigwa msasa kufuatia utovu wa nidhamu mbali na tuhuma chungu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili10 Jul
Bieber aadhibiwa kwa kufanya uharibifu
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
Aadhibiwa kwa kutokwenda haja chooni
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Poyet aadhibiwa kwa kuzua purukushani
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7KZslobAbNI/Uwvu1HJ6foI/AAAAAAAFPVA/K7YaVpBrfVs/s72-c/IMG_2064.jpg)
ankal aadhibiwa kwa kuvamia mnuso wa watu...
![](http://1.bp.blogspot.com/-7KZslobAbNI/Uwvu1HJ6foI/AAAAAAAFPVA/K7YaVpBrfVs/s1600/IMG_2064.jpg)
10 years ago
BBCSwahili01 Feb
TFF:Hatuhukumu matukio uwanjani kwa ushahidi wa teknologia
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
Burnely yatiwa aibu kwa bango la ubaguzi wa rangi uwanjani
9 years ago
Bongo522 Oct
Cristiano Ronaldo aonesha mapenzi kwa shabiki aliyevamia uwanjani na kumkumbatia
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
Kocha wa Kenya aadhibiwa na CAF
10 years ago
BBCSwahili05 Sep
Aliyempiga kichwa mwamuzi aadhibiwa