Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ankal aadhibiwa kwa kuvamia mnuso wa watu...

Ankal akiwa na wadau katika mnuso mmoja hivi karibuni jijini Dar es salaam, akionesha madhara ya kuvunja geti (gate crash) maana dress code ilikuwa kanzu na koti na makubadhi. Yeye kaulamba kivingine, adhabu yake ikawa kuchukuliwa kwa taswira hii ili iwe fundisho kwake na kwa wengine.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Aadhibiwa kwa kusujudu uwanjani

Mchezaji wa Kansas City Chiefs Husain Abdullah aliadhibiwa vikali na refarii baada ya kupiga sijida baada ya kufunga bao katika mchezo wa football ya Marekani Kansas walipoinyuka New England Patriots 41-14.

Refarii alimwadhibu papo hapo Abdullah alipoinuka baada ya kusheherekea kwa kupiga sijida.

Aliyekuwa refarii wa zamani wa NFL Mike Pereira alisema kuwa sio hatia mtu kupiga sijida.

Tukio hilo linawadia wakati ambapo ligi hiyo inapigwa msasa kufuatia utovu wa nidhamu mbali na tuhuma chungu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Bieber aadhibiwa kwa kufanya uharibifu

Mwanamuziki maarufu wa Marekani Justin Bieber amekiri kosa la kufanya uharibifu katika nyumba ya jirani yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Poyet aadhibiwa kwa kuzua purukushani

Kocha wa Sunderland Gus Poyet ameadhibiwa kwa kumshambulia mwenzake wa Hull City

 

11 years ago

BBCSwahili

Aadhibiwa kwa kutokwenda haja chooni

Polisi Tanzania imemkamata mwanamume aliyemfungia na kumtesa mwanawe kwa miezi saba ndani ya nyumba kwa kutokwenda haja chooni.

 

10 years ago

Habarileo

5 Kortini kwa kuvamia baa na kumuua mmiliki

WAKAZI watano wa Kijiji cha Turugeti, katika Kata ya Bumera wilayani Tarime mkoani Mara, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya hiyo na kusomewa mashitaka ya kuvamia baa katika Kijiji cha Kitenga na kumuua mmiliki wa baa hiyo, Muruga Nyasulwa.

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: WATU KADHAA WAUWAWA, SILAHA ZAPORWA BAADA YA MAJAMBAZI KUVAMIA KITUO KIDOGO CHA POLISI CHA SITAKISHARI, UKONGA, JIJINI DAR ES SALAAM USIKU HUU

Habari zilizotufikia chumba cha habari  zinasema kwamba watu kadhaa wameuwawa na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi, baada ya kuvamia kituo kidogo cha Polisi cha Sitakishari, Ukonga jijini Dar es salaam usiku huu.
Habari ambazo hazijathibitishwa zinasema kwamba askari polisi kadhaa kituoni hapo pamoja na raia mmoja wameuwawa. Silaha kadhaa pia inasemekana zimeporwa na askari wako eneo la tukio hivi sasa.
Tunaendelea kufuatilia taarifa hii na tutawajuza maendeleo yake kadri tutapopata fununu...

 

10 years ago

Vijimambo

LB YAIKARIBISHA VIJIMAMBO ATLANTA KWA MNUSO WA KIMTINDO


Linda Bezuidenhout Ceo wa LB akifanya matayarisho kwa ajili ya wageni wake aliowakaribisha kwenye mnuso mdogo aliofanya kuipongeza Timu ya Vijimambo kwa kazi ya kuhabarisha jamii inayofanya siku ya Jumamosi Februari 28, 2015 katikati ya jiji la Atlanta jimbo la Georgia.Linda Bezuidenhout Ceo wa LB akiwa katika picha ya pamoja na wageni wake kushoto ni Meck Khalfan Ceo na Co Founder wa PUKU Mtanzania aliyegundua mashine ya chaja ya kubeba inayo chaji simu ya kiganjani.Linda Bezuidenhout Ceo...

 

10 years ago

Michuzi

mwaliko wa mnuso kwa mheshimiwa diwani mwezi ujao

Mimi Clement Bocco, napenda kuwakaribisha marafiki zangu, madiwani wenzangu wa manispaa ya kinondoni, wanakwaya wenzangu wa kkkt Kijitonyama, wanasiasa wenzangu, ndugu, jamaa na majirani zangu wote mje kufurahi pamoja na familia yangu kwenye sherehe ya mahafali (graduation) yangu ya Masters kwenye chuo cha IFM mwezi ujao tarehe 10.10.2014, baada ya ratiba ya chuoni itafuatiwa na tafrija itakayofanyika Sinza..hakuna kiingilio, KARIBUNI WOOOTE

 

9 years ago

StarTV

Polis Mara yakamata wa nne kwa kuvamia hifadhi ya ziwa babati

Polisi mkoani Manyara imewakamata watu wanne wakazi wa kijiji cha Himiti wilayani Babati kwa kuvamia hifadhi ya ziwa babati na kufanya shughuli za kilimo.

Aidha jeshi hilo linawasaka watu wengine saba kwa tuhuma hizo za uvamizi wa hifadhi ya ziwa hilo.

Ziwa Babati ndilo linalotegemewa na wakazi wa wilaya ya Babati kama chanzo kikuu cha samaki.

Vijiji vinavyolizunguka ziwa hili vimeweka sheria ya kutofanya shughuli zozote ndani ya mita 200.

Baadhi ya watu wakiwemo viongozi wa vijiji wamevamia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani