Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


mwaliko wa mnuso kwa mheshimiwa diwani mwezi ujao

Mimi Clement Bocco, napenda kuwakaribisha marafiki zangu, madiwani wenzangu wa manispaa ya kinondoni, wanakwaya wenzangu wa kkkt Kijitonyama, wanasiasa wenzangu, ndugu, jamaa na majirani zangu wote mje kufurahi pamoja na familia yangu kwenye sherehe ya mahafali (graduation) yangu ya Masters kwenye chuo cha IFM mwezi ujao tarehe 10.10.2014, baada ya ratiba ya chuoni itafuatiwa na tafrija itakayofanyika Sinza..hakuna kiingilio, KARIBUNI WOOOTE

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

mwaliko wa mnuso wa sherehe za nondozzz kwa mheshimiwa diwani Clement Bocco

Mimi Clement Bocco, napenda kuwakaribisha marafiki zangu wote, madiwani wenzangu, wanakwaya wenzangu wa kkkt Kijitonyama, wanasiasa wenzangu, ndugu na jamaa wote mje kufurahi pamoja na familia yangu kwenye sherehe ya mahafali (graduation) yangu ya Masters kwenye chuo cha IFM jijini Dar es salaam mwezi ujao tarehe 10.10.2014. Baada ya ratiba ya chuoni itafuatiwa na tafrija itakayofanyika kwenye ukumbi wa Pine Lodge jirani na Bahari Beach Hotel kuanzia saa 12:30 jioni.Hakuna...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU: OMBEENI TAIFA NA UCHAGUZI MKUU UJAO - Askofu Niwemugizi ataka UKAWA warudi bungeni mwezi ujao, asema siyo ombi



WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amewaomba viongozi wa dini kote nchini na wananchi waungane pamoja ili kuombea uchaguzi mkuu wa viongozi wakuu wa Rais, wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika mwakani.

Ametoa wito huo leo mchana (Jumanne, Julai mosi, 2014) wakati akizungumza na maelfu ya waumini na viongozi mbalimbali waliohudhuria ibada ya Jubilei ya miaka 25 ya Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Iringa, Mhashamu Tarsicius Ngalalekumtwa katika uwanja wa Kichangani wa Kanisa Kuu la Kihesa.
"Maaskofu...

 

10 years ago

Michuzi

MEYA WA KINONDONI YUSUPH MWENDA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA SOKO LA MBURAHATI AAHIDI KUANZA KWA MRADI WA UJENZI WA SOKO JIPYA MWEZI UJAO

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akimsikiliza kwa makini mfanyabiashara wa Kuku katika soko la Mburahati, Mkude Higilo (kulia) wakati alipofanya ziara sokoni hapo kukutana na wafanyabiashara kuzungumzia mradi wa ujenzi mpya wa soko hilo mwishoni mwa wiki, Dar es Salaam. Kulia kwake ni Naibu Meya, Songoro Mnyonge. Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akizungumza na mmoja wa wafanyabiashar wa soko la Mburahati wakati wa ziara yake sokoni hapo ambapo alikutana na...

 

10 years ago

Habarileo

Ugawaji wa majimbo ya uchaguzi mwezi ujao

Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Damian Lubuva.UGAWAJI wa majimbo mapya ya uchaguzi yanatarajia kutangazwa mapema mwezi ujao na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

 

9 years ago

Mwananchi

Mrithi wa Dk Slaa kujulikana mwezi ujao

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema mchakato wa kumpata katibu mkuu wake utaanza mwezi ujao.

 

10 years ago

Habarileo

Zabuni barabara za juu mwezi ujao

Waziri wa Ujenzi, Dk John MagufuliZABUNI ya ujenzi wa barabara za juu jijini Dar es Salaam inatarajiwa kutangazwa mwezi ujao.

 

10 years ago

Mwananchi

Umeme wa gesi kuanza mwezi ujao

Watanzania waliokuwa wakisubiri kwa hamu kuanza kutumia umeme utokanao na mradi wa gesi asilia wa Kinyerezi, sasa watahitajika kuvuta subira kidogo kutokana na uzalishaji wa nishati hiyo kusogezwa hadi katikati ya mwezi ujao.

 

11 years ago

GPL

AKON KUTUA KENYA MWEZI UJAO

Rais Kenyatta akiwa na Akon nchini Marekani. MWANAMUZIKI wa RnB kutoka Marekani, Akon anatarajiwa kutua nchini Kenya mwezi ujao baada ya kukutana na Rais Uhuru Kenyatta hivi karibuni huko Marekani. Kupitia akaunti yake ya Instagram, Akon ameandika kuwa atawasili nchini Kenya mwezi Septemba mwaka huu kujadiliana na Rais Uhuru Kenyatta na kuona jinsi wanavyoweza kulinufaisha Taifa la Kenya. Staa huyo ameonekana kuvutiwa na rekodi...

 

10 years ago

Habarileo

Hatima walioadhibiwa CCM mwezi ujao

 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape NnauyeHATIMA ya makada sita wa CCM walioadhibiwa mwanzoni mwa mwaka jana wakihusishwa kuanza mapema harakati za kuusaka urais wa Tanzania kabla ya wakati uliopangwa na chama hicho tawala, sasa itajulikana mwezi ujao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani