Polis Mara yakamata wa nne kwa kuvamia hifadhi ya ziwa babati
Polisi mkoani Manyara imewakamata watu wanne wakazi wa kijiji cha Himiti wilayani Babati kwa kuvamia hifadhi ya ziwa babati na kufanya shughuli za kilimo.
Aidha jeshi hilo linawasaka watu wengine saba kwa tuhuma hizo za uvamizi wa hifadhi ya ziwa hilo.
Ziwa Babati ndilo linalotegemewa na wakazi wa wilaya ya Babati kama chanzo kikuu cha samaki.
Vijiji vinavyolizunguka ziwa hili vimeweka sheria ya kutofanya shughuli zozote ndani ya mita 200.
Baadhi ya watu wakiwemo viongozi wa vijiji wamevamia...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV30 Nov
Polis Mara lamshikilia Mwanaume mmoja kwakumbaka binti yake
Jeshi la polisi wilayani bunda linamshikilia mwanaume mmoja kwa tuhuma za kumbaka binti yake wa kuzaa ambaye ni mwanafunzi wa shule ya msingi
Afisa tarafa ya chamriho, bw. Boniphace maiga, amemtaja mwanaume huyo kuwa ni athuman jeck mkazi wa kijiji cha mariwanda, kata ya hunyari wilayani hapa.
Amesema kuwa mwanaume huyo alimfanyia unyama huo binti yake wakati mke wake akiwa amekwenda kwenye biashara, zake ambapo anadaiwa kumfungia ndani ya nyumba yao na kuanza kumbaka.
Baada ya kitendo hicho...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-P3xO_MwNkrI/Xk-TwVVoiRI/AAAAAAALep4/3lTk2VZschQkoMaqnEtg08LSj8to6xmywCLcBGAsYHQ/s72-c/c492ed38-3286-49f2-81dc-81b5b1ea4ec6.jpg)
MKURUGENZI KAGURUMJULI APONGEZWA KINONDONI KUONGOZA MARA NNE MFULULIZO MATOKEO KIDATO CHA NNE NA PILI KIMKOA
![](https://1.bp.blogspot.com/-P3xO_MwNkrI/Xk-TwVVoiRI/AAAAAAALep4/3lTk2VZschQkoMaqnEtg08LSj8to6xmywCLcBGAsYHQ/s640/c492ed38-3286-49f2-81dc-81b5b1ea4ec6.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/20222c5a-07cf-45a0-9dcb-9d98d5d96a97.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/00e8a025-773f-4d6f-b42c-f91b99f889fa.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/9660b276-f012-4575-9772-386e0eb3ef4a.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/428d3d77-292e-4614-9437-0fc2f6ff39f3.jpg)
10 years ago
Vijimambo08 Oct
Mbowe akwama kwa mara ya nne kufika mahakamani
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mbowe--October8-2014.jpg)
Mbowe anadaiwa kumshambulia mwangalizi huyo, Nassir Yamin, katika Kijiji cha Nshara, Kata ya Machame Kusini, Wilaya ya Hai, mkoani Kilimnajaro mwaka 2010.
Jana Mbowe alitakiwa kutoa utetezi wake mbele ya Hakimu Mfawidhi...
10 years ago
Bongo504 Feb
Nicole Scherzinger na Lewis Hamilton waachana kwa mara ya nne!
9 years ago
Habarileo01 Jan
Mara yakamata wahamiaji haramu 435
JUMLA ya wahamiaji haramu 435 kwa mwaka 2015 wamekamatwa mkoani Mara, kwa kuingia nchini kinyume cha sheria. Kati yao kutoka Kenya ni raia 318, Uganda wawili, Burundi 44, Somalia watatu na Ethiopia 68.
10 years ago
Vijimambo09 Jan
YAYA TOURE NDIYO MBABE WA SOKA AFRIKA KWA MARA YA NNE
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/08/150108235754_yaya_toure_640x360_reuters_nocredit.jpg)
Toure ana umri wa miaka 31,aliteuliwa baada ya kucheza kwa kujitoa na kuleta ushindi katika Premier League na League Cup, na pia alijitoa kuisaidia Ivory Coast kuingia katika kombe la mataifa ya Africa yatakayo fanyika baadaye mwaka huu.
Toure amewapiku mshambuliaji kutoka Gabon, Pierre Emerick Aubameyang na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-osBuQmnptPE/U7hONfKPdJI/AAAAAAAFvNk/TR-7bfnex68/s72-c/unnamed+(44).jpg)
WAKAAZI WA MTO WA MBU NA WAFANYAKAZI WA HIFADHI YA ZIWA MANYARA WASHIRIKI KUTUNZA MAZINGIRA
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Polis 4 washtakiwa kwa kuua mshukiwa
11 years ago
Michuzi20 Mar
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10