Polis Mara lamshikilia Mwanaume mmoja kwakumbaka binti yake
Jeshi la polisi wilayani bunda linamshikilia mwanaume mmoja kwa tuhuma za kumbaka binti yake wa kuzaa ambaye ni mwanafunzi wa shule ya msingi
Afisa tarafa ya chamriho, bw. Boniphace maiga, amemtaja mwanaume huyo kuwa ni athuman jeck mkazi wa kijiji cha mariwanda, kata ya hunyari wilayani hapa.
Amesema kuwa mwanaume huyo alimfanyia unyama huo binti yake wakati mke wake akiwa amekwenda kwenye biashara, zake ambapo anadaiwa kumfungia ndani ya nyumba yao na kuanza kumbaka.
Baada ya kitendo hicho...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV03 Dec
Polis Mara yakamata wa nne kwa kuvamia hifadhi ya ziwa babati
Polisi mkoani Manyara imewakamata watu wanne wakazi wa kijiji cha Himiti wilayani Babati kwa kuvamia hifadhi ya ziwa babati na kufanya shughuli za kilimo.
Aidha jeshi hilo linawasaka watu wengine saba kwa tuhuma hizo za uvamizi wa hifadhi ya ziwa hilo.
Ziwa Babati ndilo linalotegemewa na wakazi wa wilaya ya Babati kama chanzo kikuu cha samaki.
Vijiji vinavyolizunguka ziwa hili vimeweka sheria ya kutofanya shughuli zozote ndani ya mita 200.
Baadhi ya watu wakiwemo viongozi wa vijiji wamevamia...
10 years ago
Vijimambo
MAJAMBAZI YAUA BINTI MMOJA NA KUJERUHI MMOJA KATIKA TUKIO LA UPORAJI LILILOTOKEA LEO ASUBUHI YOMBO VITUKA

Majambazi wawili waliokuwa na pikipiki wamuua Binti mmoja aliyefahamika kwa jina...
9 years ago
Bongo517 Nov
Picha: Wastara onesha miguu yake kwa mara ya kwanza toka alipokatwa mguu mmoja miaka 6 iliyopita

Weekend iliyopita muigizaji mrembo wa filamu za Bongo, Wastara Juma aliamua kuweka wazi kile kinachoendelea kwenye maisha yake toka alipokatwa mguu wake wa kulia miaka 6 iliyopita.
Akiwa jijini Nairobi kwenye matibabu, Wastara alipost picha hii kwenye akaunti yake ya Intagram na kuandika ujumbe ufuatao;
“Kwa mara ya kwanza toka nimekatwa mguu miaka 6 iliyopita leo nimechukua nafasi hii kupost hii pic kuondoa maswali mengi yaliyopo vichwani mwa watu
Nipo kma unavyoiona pic.
Huyo ndio...
5 years ago
BBCSwahili23 Mar
Mwanaume mmoja akamatwa kwa kuhatarisha maisha ya watu
10 years ago
Vijimambo
Hakuna Mwanaume Rijali Anayeweza kuwa na Mwanamke Mmoja tu

"Mchele mmoja mapishi mbalimbali", utakuta wewe...
5 years ago
BBCSwahili11 Mar
Mwanaume mmoja wa London athibitishwa kuwa mtu wa pili duniani kupona HIV
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Baba wa kambo ambaka binti yake
11 years ago
MichuziBinti Mfalme wa Sweden aendelea na ziara yake nchini
10 years ago
GPL
BABA ALIYEMBAKA BINTI YAKE WA KAMBO AKAMATWA PARAGUAY