Mwanaume mmoja akamatwa kwa kuhatarisha maisha ya watu
Jamaa mmoja Ujerumani ,amekamatwa kwa kujaribu kutekeleza mauwaji
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Tanesco yalalamikiwa kuhatarisha maisha
WAKAZI wa Kikuyu Maghorofani mkoani Dodoma, wamelilalamikia Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) Mkoa wa Dodoma kwa kuhatarisha maisha yao kutokana na kuwepo nguzo za umeme zilizooza. Wakazi hao walitoa malalamiko...
5 years ago
BBCSwahili21 May
Wasichana Pakistan: Mwanaume akamatwa kwa kuua binamu zake juu ya video tatanishi'
5 years ago
Michuzi
HUSHPUPPI AKAMATWA KWA KUTAPELI WATU MILIONI 1.9 DUNIANI

Abbas ambaye anafahamika zaidi kwa jina la Hushpuppi amekamatwa mapema mwezi Juni akiwa na Olalekan Jacob Ponle marufu kama Woodberry na wengine 10.
Washukiwa 12 wamekamatwa kwa makosa ya...
10 years ago
Michuzi
Mtu Mmoja apoteza maisha kwa Mafuriko jijini Dar

Tukio hili lilitokea tarehe 13/05/2015 majira ya saa nane kamili mchana huko...
11 years ago
Michuzi09 Feb
Mtuhumiwa aliyesakwa na Polisi kwa mauaji ya watu wanane Tarime akamatwa Tanga
Jambazi kuu anayetuhumiwa kujihusisha na matukio ya mauaji na unyanganyi wa kutumia silaha yaliyo tokea Wilayani Tarime kuanzia 26 hadi 28.01.2014 amekamatwa na jeshi la polisi jioni ya Tarehe 06.02.2014 mkoani Tanga.
Akisimulia kukamatwa kwa jambazi huyo Kamanda wa mkoa wa kipolisi Tarime/Rorya Justus Kamugisha amesema kuwa mtuhumiwa huyo alikamatwa jioni ya Tarehe 06.02.2014 majira ya saa 1.30 na katika mahojiano ya awali ya jeshi la polisi mtuhumiwa huyo alikiri kuhusika na matukio ya...
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
Masalia TZ:Mshukiwa mmoja akamatwa
10 years ago
Vijimambo
Hakuna Mwanaume Rijali Anayeweza kuwa na Mwanamke Mmoja tu

"Mchele mmoja mapishi mbalimbali", utakuta wewe...
9 years ago
StarTV30 Nov
Polis Mara lamshikilia Mwanaume mmoja kwakumbaka binti yake
Jeshi la polisi wilayani bunda linamshikilia mwanaume mmoja kwa tuhuma za kumbaka binti yake wa kuzaa ambaye ni mwanafunzi wa shule ya msingi
Afisa tarafa ya chamriho, bw. Boniphace maiga, amemtaja mwanaume huyo kuwa ni athuman jeck mkazi wa kijiji cha mariwanda, kata ya hunyari wilayani hapa.
Amesema kuwa mwanaume huyo alimfanyia unyama huo binti yake wakati mke wake akiwa amekwenda kwenye biashara, zake ambapo anadaiwa kumfungia ndani ya nyumba yao na kuanza kumbaka.
Baada ya kitendo hicho...
11 years ago
Michuzi.jpg)
WEZI WAVAMIA WAPORA MMOJA AKAMATWA
.jpg)
Watu hao walivamia maduka hayo baada ya kupiga baruti kwa lengo la kuwatisha watu ili waweze kufanikisha wizi huo.Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana mjini Kibaha kaimu kamanda...