Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtu Mmoja apoteza maisha kwa Mafuriko jijini Dar

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kuwepo kwa mtu mmoja mwanaume aliyetambulika kwa jina la EXAVERY S/O MICHAEL, Miaka 19, Mkazi wa Kingugi Mbagala, aliefariki dunia baada ya kusombwa na maji wakati akiwa katika harakati za kuvuka mto Kizinga, na kufikia idadi ya Watu 13 waliopoteza maisha jijini Dar es Salaam kutokana na athari ya mafuriko kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha. 
Tukio hili lilitokea tarehe 13/05/2015 majira ya saa nane kamili mchana huko...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NEWZZ ALERT;MTU MMOJA APOTEZA MAISHA KUFUATIA AJALI YA BASI LA JORDAN KUPINDUKA NZEGA,LIKITOKEA JIJINI MWANZA KWENDA ARUSHA.

 Pichani juu ni mmoja wa majeruhi akisaidiwa na msamaria mwema mara baada ya kupata ajali. 
 Mtu mmoja amefariki dunia huku wengine 25 wakijeruhiwa katika ajali ya basi la abiria la Jordan lenye usajili wa namba T 650 AQZ lililokuwa likitokea jijini Mwanza kwenda mkoani Arusha na kupinduka leo wilayani Nzega,Tabora.Mpaka sasa chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikana. Baadhi ya Majeruhi mara baada ya ajali hiyo kutokea. Baadhi ya Abiria wakiwa nje ya basi la Jordan mara baada ya kupinduka...

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: Mmoja apoteza maisha kufuatia ajali ya gari huko Lindi

ABIRIA mmoja kati ya 28 amekufa papo hapo na wengine kulazwa Hospitali ya mkoa wa Lindi, Sokine,kufuatia basi la kampuni ya CHALA Express walilokuwa wakisafiria kutoka Jijini Dar es salaam kwenda wilaya ya Newala mkoani Mtwara, kukwaruzana na Lori.
Abiria aliyepoteza maisha katika ajali hiyo anaitwa Amina Omari Makodora (48) mkazi wa kijiji cha Kilindoni,wilaya ya Mafia,mkoani Pwani.
Kwa mujibu wa abiria wengine walionusulika kwenye ajali hiyo,wameiambia Globu ya Jamii kuwa ajali hiyo...

 

9 years ago

Michuzi

MTU MMOJA ADAIWA KUKUTWA AMEFARIKI LEO ASUBUHI JIJINI MBEYA.

Mtu mmoja Jijini Mbeya (PICHANI JUU) ambaye hakuweza kutambulika kwa Majina,inadaiwa amekutwa amefariki  leo asubuhi kwenye moja ya uchochoro  wa nyumba zilizopo katika mtaa wa Mwamfupe.
Kifo cha Mtu huyo ambaye inaelezwa ni kijana wa makamo alikutwa amefariki kwenye uchochoro wa nymba hiyo mara baada ya kubainika na baadhi ya Wananchi,waliokuwa wakikatiza mtaa huo kuelekea mtaa mwingine,Baadhi ya Mashudhua wa eneo hilo wameeleza kuwa mtu huyo si mkazi wa mtaa huo,
 "Mtu huyo si Mkazi wa Eneo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mafuriko Dar: Watu 13 wapoteza maisha

Watu 13 wameripotiwa kufariki dunia kutokana na mafuriko makubwa mkoani Dar es Salaam, Tanzania.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mafuriko Dar:Watu kumi wapoteza maisha

Watu kumi wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Dar es Salaam

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Mfanyakazi apoteza maisha

Mfanyakazi aliyekuwa akitunza Watoto yatima nchini Siera Leone apoteza maisha kutokana na Ebola

 

9 years ago

StarTV

Mtu mmoja afariki kwa kukatwa kwa kitu chenye ncha kali

Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Mwikwabe Mwita mkazi wa Kibasa  wilaya ya tarime mkoani Mara amefariki dunia baada ya kukatwa na kitu chenye ncha kali kichwani na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi baada ya kuvamia duka ambalo marehemu alikuwa akifanya kazi ya ulinzi nyakati za usiku

 Akiongea kwa masikitika makubwa ya kuuawa kwa mlinzi wa duka lake na kuporwa mali zote zilizo kuwemo ndani ya duka hilo mmiliki wa duka, Chacha marwa  analiomba jeshi la polisi kanda maalum ya Tarime na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani