NEWZZ ALERT;MTU MMOJA APOTEZA MAISHA KUFUATIA AJALI YA BASI LA JORDAN KUPINDUKA NZEGA,LIKITOKEA JIJINI MWANZA KWENDA ARUSHA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-24CsRujhlCw/VS5FUbKMsqI/AAAAAAAHRRQ/S_vFcJGnXP4/s72-c/IMG-20150415-WA0045.jpg)
Pichani juu ni mmoja wa majeruhi akisaidiwa na msamaria mwema mara baada ya kupata ajali.
Mtu mmoja amefariki dunia huku wengine 25 wakijeruhiwa katika ajali ya basi la abiria la Jordan lenye usajili wa namba T 650 AQZ lililokuwa likitokea jijini Mwanza kwenda mkoani Arusha na kupinduka leo wilayani Nzega,Tabora.Mpaka sasa chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikana. Baadhi ya Majeruhi mara baada ya ajali hiyo kutokea.
Baadhi ya Abiria wakiwa nje ya basi la Jordan mara baada ya kupinduka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi17 Feb
NEWS ALERT: Mmoja apoteza maisha kufuatia ajali ya gari huko Lindi
Abiria aliyepoteza maisha katika ajali hiyo anaitwa Amina Omari Makodora (48) mkazi wa kijiji cha Kilindoni,wilaya ya Mafia,mkoani Pwani.
Kwa mujibu wa abiria wengine walionusulika kwenye ajali hiyo,wameiambia Globu ya Jamii kuwa ajali hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ysVNzqySoWw/VS4YvN89FpI/AAAAAAAHRMQ/qaZahnNY4Ck/s72-c/IMG_1323.jpg)
NEWZZ ALERT:AJALI YA BASI BWAWANI LIKIELEKEA MKOANI MBEYA,HAKUNA ALIYEPOTEZA MAISHA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-ysVNzqySoWw/VS4YvN89FpI/AAAAAAAHRMQ/qaZahnNY4Ck/s1600/IMG_1323.jpg)
10 years ago
Michuzi12 Nov
WATU WATANO WADAIWA KUPOTEZA MAISHA NA WENGINE KUJERUHIWA VIBAYA KUFUATIA AJALI YA BASI LA WIBONELA KUPINDUKA MJINI KAHAMA LEO
![](https://4.bp.blogspot.com/-4UdQLcd_cNw/VGM-Vk_59aI/AAAAAAAA8qU/fhtL_P02kQ0/s640/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yNULcG2812o/VVSziYNkSoI/AAAAAAAHXUM/lEecZ3fAIYg/s72-c/image061.jpg)
Mtu Mmoja apoteza maisha kwa Mafuriko jijini Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-yNULcG2812o/VVSziYNkSoI/AAAAAAAHXUM/lEecZ3fAIYg/s400/image061.jpg)
Tukio hili lilitokea tarehe 13/05/2015 majira ya saa nane kamili mchana huko...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X_WQ89vDIoc/VSzvoPwgNlI/AAAAAAAC3H8/BAGYkW-y2Vg/s72-c/IMG-20150414-WA0053.jpg)
NEWZZ ALERT :BASI LA KAMPUNI YA GAMET LAPATA AJALI KIBITI-MKOA WA PWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-X_WQ89vDIoc/VSzvoPwgNlI/AAAAAAAC3H8/BAGYkW-y2Vg/s1600/IMG-20150414-WA0053.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Z-YgpS1e5jU/Vn1EtMaZZNI/AAAAAAADEQ4/2PScFXFFqOs/s72-c/1451042251292.jpg)
WATU ZAIDI YA KUMI WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA KUFUATIA AJALI YA LORI KUPINDUKA WILAYANI LUSHOTO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z-YgpS1e5jU/Vn1EtMaZZNI/AAAAAAADEQ4/2PScFXFFqOs/s640/1451042251292.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1qU74bHi8f8/Vn1EnGDi29I/AAAAAAADEQo/u_Yxhuf-B1g/s640/1451042280884.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-thAD6fmcySM/Vn1EoULa_tI/AAAAAAADEQw/uaXw2GJ9_D4/s640/1451042266575.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-CSvqWNnkoJg/VHCK9-cxGaI/AAAAAAAAEvU/-e1VFarx8rw/s72-c/MUSOMA%2BEXPRESS.jpg)
BASI LA MUSOMA EXPRESS LAPATA AJALI LIKITOKEA DAR KWENDA MUSOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-CSvqWNnkoJg/VHCK9-cxGaI/AAAAAAAAEvU/-e1VFarx8rw/s1600/MUSOMA%2BEXPRESS.jpg)
Basi hilo limepata ajali katika eneo la Usanda hatua chache baada ya kutoka katika mzani wa Tinde barabara ya Tinde Shinyanga.
Inaelezwa kuwa wakati dereva akiendesha basi hilo ghafla mwanamume mmoja anayedaiwa kuwa ni mzee (mtembea kwa miguu) alikatisha barabarani na kusababisha ajali hiyo.
wakizungumza na...
11 years ago
Michuzi23 Jun
NEWS ALERT:AJALI YAUA MTU MMOJA IRINGA
Taarifa za awali zinaonesha kwamba dereva wa gari hilo jina lake bado halijapatikana ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-liRPgfGBLTU/VBCIK2wNx9I/AAAAAAAAoZs/cudZXKAUMFA/s72-c/IMG-20140909-WA0001.jpg)
watu wili wadaiwa kupoteza maisha kufuatia ajali ya basi la Ruksa
![](http://3.bp.blogspot.com/-liRPgfGBLTU/VBCIK2wNx9I/AAAAAAAAoZs/cudZXKAUMFA/s1600/IMG-20140909-WA0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5kfPPFC6uL0/VBCIJ48jarI/AAAAAAAAoZk/2xf9KhhTnaA/s1600/IMG-20140909-WA0038.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SmtI5hXSqJk/VBCIQ9aN0dI/AAAAAAAAoaE/q_8oAoLJyas/s1600/IMG-20140908-WA0047.jpg)