NEWZZ ALERT:AJALI YA BASI BWAWANI LIKIELEKEA MKOANI MBEYA,HAKUNA ALIYEPOTEZA MAISHA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-ysVNzqySoWw/VS4YvN89FpI/AAAAAAAHRMQ/qaZahnNY4Ck/s72-c/IMG_1323.jpg)
Pichani ni basi aina ya Costa likitoka Dar es Salaam kuelekea Mbeya limepata ajali na kupinduka kama lionekavyo pichani juu baada ya kuyumba na kuacha njia eneo la Bwawani muda wa saa 12.30 jana jioni . Kuna majeruhi kadhaa ambao wanapatiwa matibabu katika kituo cha Afya cha Magereza ya Bwawani. Chanzo cha ajali kinasadikiwa kuwa ni mwendo kasi na utelezi kutokana na mvua iliyokuwa inanyesha wakati huo.Chanzo Mdau wa Blog ya Jamii.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-24CsRujhlCw/VS5FUbKMsqI/AAAAAAAHRRQ/S_vFcJGnXP4/s72-c/IMG-20150415-WA0045.jpg)
NEWZZ ALERT;MTU MMOJA APOTEZA MAISHA KUFUATIA AJALI YA BASI LA JORDAN KUPINDUKA NZEGA,LIKITOKEA JIJINI MWANZA KWENDA ARUSHA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-24CsRujhlCw/VS5FUbKMsqI/AAAAAAAHRRQ/S_vFcJGnXP4/s1600/IMG-20150415-WA0045.jpg)
Mtu mmoja amefariki dunia huku wengine 25 wakijeruhiwa katika ajali ya basi la abiria la Jordan lenye usajili wa namba T 650 AQZ lililokuwa likitokea jijini Mwanza kwenda mkoani Arusha na kupinduka leo wilayani Nzega,Tabora.Mpaka sasa chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikana.
![](http://3.bp.blogspot.com/-tXAyhsmhNUE/VS5FTTHjAsI/AAAAAAAHRRE/KnSSu-YP4kM/s1600/IMG-20150415-WA0039.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Qi1DswkaKC0/VS5FS0wPhwI/AAAAAAAHRQ8/0h7X2lFpg1A/s1600/IMG-20150415-WA0040.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X_WQ89vDIoc/VSzvoPwgNlI/AAAAAAAC3H8/BAGYkW-y2Vg/s72-c/IMG-20150414-WA0053.jpg)
NEWZZ ALERT :BASI LA KAMPUNI YA GAMET LAPATA AJALI KIBITI-MKOA WA PWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-X_WQ89vDIoc/VSzvoPwgNlI/AAAAAAAC3H8/BAGYkW-y2Vg/s1600/IMG-20150414-WA0053.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3SQhmbAYeew/VWHoUA4ZSwI/AAAAAAAHZiI/MXNk5TR5zXQ/s72-c/unnamed26.jpg)
watatu wapoteza maisha katika ajali ya basi mkoani mbeya leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-3SQhmbAYeew/VWHoUA4ZSwI/AAAAAAAHZiI/MXNk5TR5zXQ/s640/unnamed26.jpg)
9 years ago
StarTV17 Sep
Sheikh mkuu asema hakuna Mtanzania aliyepoteza maisha
Wakati watanzania wakisubiri kwa hamu taarifa za watanzania waliokwenda kuhiji Saud Sheikh Mkuu wa Tanzania Abubakari Zuberi amesema hakuna Mtanzania yoyote aliyesadikiwa kufariki dunia wala kujeruhiwa kwenye tukio lililohusisha vifo vya watu 107 baada ya Winchi kuangukia msikiti mtukufu wa Makka nchini Saud Arabia.
Akitoa Taarifa hiyo jijini Dar es Salaam, Sheikh Zuberi, amesema tangu kutolewa kwa taarifa hiyo kumekuwepo na wasiwasi mkubwa kutoka kwa wananchi wanaotaka kujua usalama wa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EsajbnapHXU/VnQHVEi-rhI/AAAAAAAINQA/h7Ni-gkVMI8/s72-c/IMG-20151218-WA0132.jpg)
NEWS ALERT: BASI LA KAMPUNI YA NEW FORCE LAPATA AJALI MBAYA MKOANI IRINGA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-EsajbnapHXU/VnQHVEi-rhI/AAAAAAAINQA/h7Ni-gkVMI8/s640/IMG-20151218-WA0132.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa,Peter Kakamba amethibitisha watu 12 kupoteza maisha katika ajali hiyo. Wanane ni wanae na wanne ni wanawake. Abiria 28 wamejeruhiwa wakiwemo madereva wa basi la lori na hali zao siyo nzuri.
Ajali hiyo imetokea majira ya saa nane alasiri ambapo basi la...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6sPDK3ZU7To/VDqgPu31jRI/AAAAAAAGplQ/3ROVHiOA9tk/s72-c/unnamed.jpg)
NEWS ALERT:AJALI MBAYA YA BASI LA HAPPY NATION NA GARI NDOGO,WATU KADHAA WADAIWA KUPOTEZA MAISHA HEDARU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-6sPDK3ZU7To/VDqgPu31jRI/AAAAAAAGplQ/3ROVHiOA9tk/s1600/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ivqc90arWEg/VDqgPzhXpyI/AAAAAAAGplU/Ox7GMVj8muI/s1600/unnamed.jpgq.jpg)
10 years ago
Michuzi01 Jul
NEWS ALERT: WATU WANNE WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI NA TRENI MKOANI MOROGORO LEO ALFAJIRI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXTsOGq2CWtfiOfMv2WsqgG*Vwx4eB6HbpmgwYjpVdJTzfxo7GfJgBTmoMVbT-fueL1DzJ0ClKVY-d1*wF6iiVNb/2.jpg)
AJALI YA BASI LA SUPER FEO YAUA 3, YAJERUHI 28 MKOANI MBEYA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s72-c/IMG-20150311-WA0005.jpg)
NEWS ALERT: WATU ZAIDI YA 30 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA MAFINGA, IRINGA, LEO BAADA YA BASI LA ABIRIA KUANGUKIWA NA KONTENA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s1600/IMG-20150311-WA0005.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YrffIUaPznU/VQAV5NhjcvI/AAAAAAAHJhs/Z2y_CB55Yq4/s1600/IMG-20150311-WA0002.jpg)