Sheikh mkuu asema hakuna Mtanzania aliyepoteza maisha
Wakati watanzania wakisubiri kwa hamu taarifa za watanzania waliokwenda kuhiji Saud Sheikh Mkuu wa Tanzania Abubakari Zuberi amesema hakuna Mtanzania yoyote aliyesadikiwa kufariki dunia wala kujeruhiwa kwenye tukio lililohusisha vifo vya watu 107 baada ya Winchi kuangukia msikiti mtukufu wa Makka nchini Saud Arabia.
Akitoa Taarifa hiyo jijini Dar es Salaam, Sheikh Zuberi, amesema tangu kutolewa kwa taarifa hiyo kumekuwepo na wasiwasi mkubwa kutoka kwa wananchi wanaotaka kujua usalama wa...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/6HHnEDc9yys/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ysVNzqySoWw/VS4YvN89FpI/AAAAAAAHRMQ/qaZahnNY4Ck/s72-c/IMG_1323.jpg)
NEWZZ ALERT:AJALI YA BASI BWAWANI LIKIELEKEA MKOANI MBEYA,HAKUNA ALIYEPOTEZA MAISHA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-ysVNzqySoWw/VS4YvN89FpI/AAAAAAAHRMQ/qaZahnNY4Ck/s1600/IMG_1323.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YW8IU9hiX-o/VQ7xTUDoGSI/AAAAAAAHMPM/DzbdsEWPPdQ/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
SHEIKH MKUU WA WILAYA YA BAGAMOYO SHEIKH ABDULKADIR MOHAMED RAMIYA ATOA TAMKO LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-YW8IU9hiX-o/VQ7xTUDoGSI/AAAAAAAHMPM/DzbdsEWPPdQ/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-32Zq8hzlAZE/VQ7ydcE41kI/AAAAAAAHMPY/Qxe7tUyTi4Y/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Jun
Rais Kikwete aomboleza kifo cha Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Sheikh Issa Bin Shaaban Simba
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mkono na marehemu Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Sheikh Issa Bin Shaaban Simba (kushoto) enzi za uhai wake.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Waislamu wote nchini na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA)) kufuatia kifo cha Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Sheikh Issa Bin Shaaban Simba.
Marehemu Mufti amefariki leo 15/6/2015 asubuhi katika hospitali ya TMJ – DSM alipokuwa amelazwa akisumbuliwa na ugonjwa wa sukari na shinikizo...
10 years ago
GPLMEMBE: HAKUNA MTANZANIA ALIYEUAWA AFRIKA KUSINI
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/QB0-HUGpjOs/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-70r2AFX3EMg/Xk_yJ1Ew57I/AAAAAAALeus/-3jw3dX3TnA2pPJDQeW9YTQAvdz0O2LRwCLcBGAsYHQ/s72-c/cq5dam.thumbnail.cropped.750.422.jpeg)
MAJALIWA: HAKUNA MTANZANIA ATAKAYEKOSA KITAMBULISHO CHA TAIFA
![](https://1.bp.blogspot.com/-70r2AFX3EMg/Xk_yJ1Ew57I/AAAAAAALeus/-3jw3dX3TnA2pPJDQeW9YTQAvdz0O2LRwCLcBGAsYHQ/s1600/cq5dam.thumbnail.cropped.750.422.jpeg)
Amesema waombaji hao watapatiwa vitambulisho hivyo baada ya wahusika kupitia maombi yao na kujiridhisha kwamba wote ni raia wa Tanzania na Serikali inafanya hivyo ili kulinda usalama wa nchi.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Ijumaa, Februari 21, 2020) wakati akizungumza katika Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OkkR6evK9Rk/VX7rn4sF-JI/AAAAAAAHfss/hR6YXhCRfO4/s72-c/index.jpg)
RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE AMETUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA WAISLAMU WOTE NA BAKWATA KUFUATIA KIFO CHA SHEIKH MKUU WA TANZANIA MUFTI SHEIKH ISSA BIN SHAABAN SIMBA
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
![](http://2.bp.blogspot.com/-OkkR6evK9Rk/VX7rn4sF-JI/AAAAAAAHfss/hR6YXhCRfO4/s1600/index.jpg)
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Waislamu wote nchini na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA)) kufuatia kifo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OJskrutNscs/VTTNifAKOfI/AAAAAAAHSFc/063zLPPj2wc/s72-c/_MG_9621.jpg)
HAKUNA MTANZANIA ALIEFARIKI KWA VURUGU ZA AFRIKA KUSINI - MEMBE
SERIKALI imesema hakuna mtanzania aliyepoteza maisha kwa vurugu zinazoendelea nchini Afrika Kusini kutokana na wenyeji wa nchi hiyo kuwachukia wageni.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe amesema watanzania waliofariki nchini Afrika Kusini hawatokani na vurugu za wenyeji kuwakataa wageni.
Membe amesema tatizo hilo lilianza 2008 na 2014 hiyo lilichangiwa na Mfalme wa nchini...